Burundi: Kwanini Viongozi wetu wakuu wameelekeza nguvu zao huko?

malang0

JF-Expert Member
Apr 7, 2021
440
518
Leo Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya siku mbili nchini Burundi. Huyu ni kiongozi wa tatu wa juu kutembelea nchi hiyo ndani ya awamu hii ya sita.

Alianza Makamu wa Rais Dr. Philip Isidor Mpango akafuata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Nchi hii inaumuhimu gani kwetu kwa viogozi wetu wakuu kuelekeza nguvu zao huko, je soko lao ni kubwa kuliko nchi nyingine za ukanda wa Maziwa Makuu?

Au ni sababu za kiusalama.
 
Leo Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya siku mbili nchini Burundi. Huyu ni kiongozi wa tatu wa juu kutembelea nchi hiyo ndani ya awamu hii ya sita. Alianza Makamu wa Rais Dr. Philip Isidor Mpango akafuata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Nchi hii inaumuhimu gani kwetu kwa viogozi wetu wakuu kuelekeza nguvu zao huko, je soko lao ni kubwa kuliko nchi nyingine za ukanda wa Maziwa Makuu? au ni sababu za kiusalama.
Kwaiyo ulitaka atembelee kwenu matombo
 
Kwani Burundi tunauza nini?
Hatuuzi litu kwasababu njia za mawasiliano kule ni duni barabara reli n.k ujinga wa viongozi kupeleka vipaumbepe kusiko sahihi. Inashangaza SGR ilikuwa inapelekwa kwa kagame nchi moja walati burundi kiuahilisia unakua umegusa mkoa wa kigoma na nchi ya DRC
 
Back
Top Bottom