Burundi coup bid: Some coup leaders 'arrested'

Burundi coup bid: Some coup leaders 'arrested'

Hakuna sababu ya kuwanyonga,kama kweli hakki inafuatwa wakunyongwa ni huyo muhutu mshenzi Nkurunziza yeye na vibaraka wake wahutu wenzie wenyeroho za paka
 
Ila aelewe kwamba lazima atang'oka kwa njia yoyote si mtu mzuri wala msihadaike na ukimya wake yule ni paka
 
Kwani CCM nao ni kama Nkurunzinza mng'ang'ania madaraka kwa nguvu! na hiyo ndo Domokrasia!??

Asiyeng`ang`ania madaraka nani? Mbowe je,profesa lipumba je,slaa je,Maalim seif je,mrema je,makaidi je,Mbatia je,JOHN cheyo JE? Mtikila jE?

KWELI NYANI HAONI KUNDULE.kawaulize viongozi wote wa vyama vya upinzani wataachia madaraka ya kuongoza vyama wengine lini?
 
Jana mimi humu JF nilionesha kushangazwa na namna baadhi ya watu wanavyoshangilia 'mapinduzi'. Aibu nyingine ni pale baadhi ya wabunge wawili ambao 'nimesahau' chama chao walipotoa taarifa bungeni kushangilia uasi huo wa Burundi...na wakasema kuwa ni funzo kwa Tanzania. Sikuwaelewa kabisa.....yaanI uasi wa kijeshi unashangiliwa!!!!!!!???????? Yaani hata the so called mapinduzi yameandaliwa kitoto. ....
 
hujamsikia sugu akidai ana kikosi huko mbeya kinaweza kupambana na magari yaliyojaa polisi 300?

Thubutu walileta za kuleta wanaume wakaingia Tunduma wafanya fujo,uporaji na kuchoma matairi walilazimishwa kulala saa 4 asubuhi. Walipigwa marufuku kutoka nje na kweli wakalala saa 4.Ujasiri wa kwenye keyboard sio sawa na kwenye zengwe lenyewe.
 
Yaani kama pierre baada ya sarakasi zote hizi kutokea na bado tuu akawa na interests zakugombea urais aisee ntamshangaa sana na hata kuwa na mwisho mzuri.
 
Walikosea mahesabu.
Mara ya pili hawatakosea.

No. Hawakujipanga. Ukitaka kufanya walichotaka kufanya inatakiwa at least nchi moja mnayopakana mipaka iwe pamoja nawe. Tena iwe very geographicaly and strategic located kama Tanzania.Isipokuwa hivyo unaweza kweli pindua nchi lakini utakua kisiwa,no supply and effective logistics. Nchi za EAC zote hazikua tayari ku support mapinduzi.
Baba pekee wa kumsaidia huyu mpinduaji ki supply na logistics kwa kuzingatia jiografia alitakiwa awe Tanzania. Sasa Kikwete alishasema Tanzania hatutambui hayo mapinduzi. Ndio maana wakapungua nguvu na kufyata mikia mara moja baada ya Tangazo lile.
Siku zote nchi jirani zatakiwa ziiheshimu Tanzania. Proudly Tanzanian.
 
Mmoja humu anasema Jenerali aliyekuwa ameandaa mapinduzi hawezi kukamatwa kizembe hivyo.....Lakini jenerali mweyewe aliandaa mapinduzi kizembe. Yeye aliona umati wa vijana wanaoandamana mitaani kuwa ni umma na haumtaki Rais. Wale vijana sio umma. wengi wao ni vijana wasio na kazi sawa na thousands of youths in Dar na miji mingne ya thirld world countries. Vijana hao ni matokeo mabaya ya mfumo wa uchumi duniani. Vijana wale zilipopigwa risasi mbili tu walikimbia mithili ya nguchiro au vicheche wanapokimbilia mashimo baada ya kumuona mwewe juu.
 
No. Hawakujipanga. Ukitaka kufanya walichotaka kufanya inatakiwa at least nchi moja mnayopakana mipaka iwe pamoja nawe. Tena iwe very geographicaly and strategic located kama Tanzania.Isipokuwa hivyo unaweza kweli pindua nchi lakini utakua kisiwa,no supply and effective logistics. Nchi za EAC zote hazikua tayari ku support mapinduzi.
Baba pekee wa kumsaidia huyu mpinduaji ki supply na logistics kwa kuzingatia jiografia alitakiwa awe Tanzania. Sasa Kikwete alishasema Tanzania hatutambui hayo mapinduzi. Ndio maana wakapungua nguvu na kufyata mikia mara moja baada ya Tangazo lile.
Siku zote nchi jirani zatakiwa ziiheshimu Tanzania. Proudly Tanzanian.

alichofanya nkuruzinza kinatofauti gani na kinachofanywa na ccm.ndio maana wanamtete nkurunzinza .ni wazi kuwa ccm imevunja katiba kwa kuinyang'anya CUF ushindi zanziba.pia kwa kukataa maoni ya wananchi kwenye katiba .na kuiruhusu Zanzibar kujitangaza kuwa ni nchi.ntawashanga ccm wakimkana nkurunzinza
 
Nawapendaga sana wanajeshi hasa watiifu....Nawapa hongera tena kumrudisha Piere madarakani....Wameonyesha utiifu mkubwa sana kwa Amiri jeshi mkuu wa Burundi....Hawajafanya makosa ni Kiapo wameapa kuitumikia nchi yao hachana na
wetu hapa wanauza pembe za ndovu na kutesa raia mitaani.Waliotaka pindiua nchi ndo wahaini....Wapigwe risasi tena hadhalani.
 
alichofanya nkuruzinza kinatofauti gani na kinachofanywa na ccm.ndio maana wanamtete nkurunzinza .ni wazi kuwa ccm imevunja katiba kwa kuinyang'anya CUF ushindi zanziba.pia kwa kukataa maoni ya wananchi kwenye katiba .na kuiruhusu Zanzibar kujitangaza kuwa ni nchi.ntawashanga ccm wakimkana nkurunzinza

Nimeongea ki multinational. Siongelei CUF,CHADEMA wala CCM. Soma comment yangu kwanza simple thinker!
 
Back
Top Bottom