BURUNDI: Colonel Rufyiri killed outside his home

BURUNDI: Colonel Rufyiri killed outside his home

swali kubwa ni why? Kwa nini a retired officer auawe?
Inawezekana Nkurunziza anaamini hao retired army officers ndio perpetrators wa huo uasi......just thinking out loud, assuming mauaji hayo yanafanywa na watu wa Nkurunziza
 
Mhutu,google ten comandments za wahutu,kipindi wanatawala Rwanda,unajua utawala upo vice versa Rwanda ilikuwa Rais mhutu kwa kipindi kirefu wakati Burundi ilikuwa watutsi ndo wanaupata Urais,alikuja akapata mhutu Melichior Ndandaye baadae kidogo akauliwa,wakafululiza tena watutsi,mpaka alipokuja tena Cyprien Ntaryamira mhutu aliekufa kwenye ile ndege iliyotunguliwa akiwa na Rais wa Rwanda mhutu Juvénal Habyarimana.Watutsi na Wahutu kamwe hawatakuja kupendana.Hivi sasa Rwanda Raisi kagame Mtutsi huku Burundi Raisi Mhutu Nkurunziza.Ndo maana hapatulii.
Nawafahamu hawa, ni jirani zangu na kuna wakati huwa wananinasibisha nao. Unamuona shemeji yako Koba anavyomshambulia gmali eti kwa sababu yeye ni Muhutu?
 
hawa inabidi waoleana sana, mtusi aoe mhutu, mhutu aoe mtusi kwa kiwango cha juu sana hadi wachanganyikane wote wawe mixer mtusi na mhutu, hii ndo itakuwa dawa ya kudumu
 
Wa kwako Mtutsi au Mhutu?


Mhutu,google ten comandments za wahutu,kipindi wanatawala Rwanda,unajua utawala upo vice versa Rwanda ilikuwa Rais mhutu kwa kipindi kirefu wakati Burundi ilikuwa watutsi ndo wanaupata Urais,alikuja akapata mhutu Melichior Ndandaye baadae kidogo akauliwa,wakafululiza tena watutsi,mpaka alipokuja tena Cyprien Ntaryamira mhutu aliekufa kwenye ile ndege iliyotunguliwa akiwa na Rais wa Rwanda mhutu Juvénal Habyarimana.Watutsi na Wahutu kamwe hawatakuja kupendana.Hivi sasa Rwanda Raisi kagame Mtutsi huku Burundi Raisi Mhutu Nkurunziza.Ndo maana hapatulii.

Mkuu fakalava nimepitia comment ya Victoire akijibu swali lako hapo juu, na jibu lake ni hilo hapo kwenye bold nyekundu, je ni wapi amesema ni mtutsi kama ulivyosema wewe?
 
...Family, kwa maana ya baba mzazi ndiyo iliyo assume hutu identity. Very interesting indeed.

...Najiuliza! Kwanini wahutu wakubali kuongozwa na mtutsi, ku commit war crimes? Wakubwa, ambao walikuwa wahutu, hawakulijua hili?

...Maswali mengi, majibu sioni.
swala la yeye kuwa mtutsi halikuwa siri kwake wala familia yake, ndio maana alimficha kaka yake "hotel Rwanda" ili amuepushe na genocide ambayo yeye mwenyewe alikuwa ndio anaratibu. Wahutu wanaweza kueleweka wakisema kwamba hawakuwa wanajua kwa kuwa labda alikuwa miongoni mwa wanyarwanda wasio na maumbile typical ya kihutu au kitusi, lakini nini sababu ya mtusi kuongoza genocide dhidi ya watusi wenzie? hilo ndio swali kubwa zaidi.
 
hawa inabidi waoleana sana, mtusi aoe mhutu, mhutu aoe mtusi kwa kiwango cha juu sana hadi wachanganyikane wote wawe mixer mtusi na mhutu, hii ndo itakuwa dawa ya kudumu
Ni wazo zuri ukiliangalia kihivyo lakini uhalisia ni tofauti kabisa.

Najua vita ya ukabila ni mbaya sana na chuki huwa haiishi hata waoane kila kukicha.
Sio kwa jirani tu hata mataifa mengine in general, yaani mtu anauwa mtoto wa dada yake kwa sababu tu kaolewa na kabila la upande mwingine.
Chuki ya ukabila ni ngumu kusahau tuwaombee wasameheane tu na kujenga umoja ingawa wana machungu mengi
 
Nawafahamu hawa, ni jirani zangu na kuna wakati huwa wananinasibisha nao. Unamuona shemeji yako Koba anavyomshambulia gmali eti kwa sababu yeye ni Muhutu?
Mbona jMali anajitambulisha kama ni mtanzania wa kabila la wahaya, imekuaje awe mhutu?
Mimi sio mhutu ila hawa jamaa kwa kuwa hawana hoja, huwa ni lazima wakupachike uhutu kilazima na wakuite interahamwe. Matokeo yake wanachama wageni hapa JF wakikuta mijadala yetu hudhani kuwa ni wahutu na watutsi tunagombana 😀
 
Mimi sio mhutu ila hawa jamaa kwa kuwa hawana hoja, huwa ni lazima wakupachike uhutu kilazima na wakuite interahamwe. Matokeo yake wanachama wageni hapa JF wakikuta mijadala yetu hudhani kuwa ni wahutu na watutsi tunagombana 😀
Wewe sio mhutu bali ni interahamwe..kwenye interahamwe kuna wahutu walokuwa 99.99% na robert kajuga...wewe unajijua mbona hutaki kuwafafanulia watanzania?
 
Back
Top Bottom