BURIANI KAIJAGE, BURIANI KILEMBWE.
Kalale pema peponi Mwalimu Joshua Kaijage Kilembwe ama Mwalimu Kaijage kama ulivyofahamika Sana Hapa Duniani.
Mapambano ya kudai haki, kupinga
dhuruma na kukataa uonevu na ukandamizaji vilituunganisha tukawa wanachama wa Chama kimoja, Chama kidogo, kipya na makini. Chama cha Act Wazalendo.
Dahh. Niseme nini kaijage? ...
Niseme namna tulivyokusafirisha mputa mputa uje kujiunga na timu ya ziara ya kukitambulisha Chama iliyoanzia Songea mwaka Jana ukaja kuongeza nguvu katika
kuhabalisha umma kupitia mtandaoni? ...
.......
Pole Mkuu,
Ila kwa kuwa wewe ni kiongozi, jitahidi kujifunza matumizi ya "R" na "L".....angalia hizo red fonts ..
R.I.P Marehemu,