Mkuu usiwaamini sana wanasiasa.Pamoja na hayo ya ACT WAZALENDO, mengi zaidi aliyafanya akiwa chadema kabla ya kujiunga na wasaliti. Mungu awape uvumili na subira ndugu na jamaa wote kwa kumpoteza mtu kipenzi. R.I.P KAMANDA.
CHADEMA ubinadamu ulishawatokaPamoja na hayo ya ACT WAZALENDO, mengi zaidi aliyafanya akiwa chadema kabla ya kujiunga na wasaliti. Mungu awape uvumili na subira ndugu na jamaa wote kwa kumpoteza mtu kipenzi. R.I.P KAMANDA.
wewe ni wa kusamehe tu, hiki siyo kipindi cha kukumbushia hayo. R..I.P Mwalimu KaijageHabibu mchage siku act wanazindua kampeni za uraisi pale mbagara rangi tatu..alimshambulia sana mheshimiwa lowassa kuwa mgonjwa wa dege dege sijui kifafa..
Ilimlazimu kiongozi wake mkuu bwana zito kabwe aombe radhi pale pale kutokana na maneno ya kifedhuri ya habibu mchage.
Lakini mungu wa isaka ..mungu wa yakobo.. Ni mwema...lowwasa uliemtukana mgonjwa..yupo had Leo anadundaaa...wanaokufa wale ambao hukuwaza kabisa kama watakuwafa...
Pengine you are next.... Weka Akiba ya maneno dogo....afya ya mtu ni maajaliwa ya mwenyezi mungu.
Eti "chama kidogo lakini makini"
Pambaufu kabisa!!
Oyaa.mwenzetu jina umebadilisha vipi?Nimeguswa! .
RIP Mwalimu Kaijage.
Paskali
Pamoja na hayo ya ACT WAZALENDO, mengi zaidi aliyafanya akiwa chadema kabla ya kujiunga na wasaliti. Mungu awape uvumili na subira ndugu na jamaa wote kwa kumpoteza mtu kipenzi. R.I.P KAMANDA.
Najaribu kuweka wazi unafiki wa habibu mchage..asijifanye analia lia hapa..kumbe kuna wengine alikuwa anawadhiki wagonjwaa watakufa kesho..wewe ni wa kusamehe tu, hiki siyo kipindi cha kukumbushia hayo. R..I.P Mwalimu Kaijage
Acha chuki na waha mkuu haitokufikisha popote,kama unaamini kunakupigana vyombo.Unatofauti gani na wanaoamini katika nguvu za vyombo?.sitta kafa kifo cha kiasili,ila mwalimu kaijage waha wamempiga vyombo