Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Unajua bana, siku izi watoto hawafaidi mambo yale ya kukaa na bibi/babu na kutoleana hadithi pamoja na vitendawili. Si unajuwa tena mambo ya teknolojia yalivyo na nguvu, watoto wanaishia kwenye Tv na gemu. Hata enzi zangu mm za **90 Tv zilikuwepo ila zilikuwa hazijapamba moto kama sasa, hivyo nami nilifaidi.
Kwa kipindi chote hicho tulikuwa tunatolewa hadithi zilizosheheni wahusika kama vile Mzee Sungura, Juha, Bunuasi (Abunuasi), Simba, Fisi, Kobe na wengine kibao.
Hivyo pamoja na kuwa hadithi nyingi zilijumuisha wanyama, niliweza kujua kuwa Juha ni mtu lakini akili yake haipo sawa vizuri. Ila kwa upande wa Bunuasi nilifikiri ni mnyama kumbe tofauti kabisa.
Sasa kwa vile nimeipata historia ya Bunuasi, acha mimi niende ila nitarudi kuja kuwatolea....
(Lakini mnaweza kuweka vituko vyake huyu bwana na mimi nitakuja na kimoja)
Kwa kipindi chote hicho tulikuwa tunatolewa hadithi zilizosheheni wahusika kama vile Mzee Sungura, Juha, Bunuasi (Abunuasi), Simba, Fisi, Kobe na wengine kibao.
Hivyo pamoja na kuwa hadithi nyingi zilijumuisha wanyama, niliweza kujua kuwa Juha ni mtu lakini akili yake haipo sawa vizuri. Ila kwa upande wa Bunuasi nilifikiri ni mnyama kumbe tofauti kabisa.
Sasa kwa vile nimeipata historia ya Bunuasi, acha mimi niende ila nitarudi kuja kuwatolea....
(Lakini mnaweza kuweka vituko vyake huyu bwana na mimi nitakuja na kimoja)