infinix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 2,092
- 2,150
This is perfect tatizo litakuja ktk mambo ya pesa. Siyo kama hatuna hasha...kipaumbele cha serikali ya awamu ya tano kwa sasa haiwezi kuanzisha mradi mkubwa kama huu kwa ghafla. Hapa consultation inaweza chukua miaka hata mitano mpaka allocation ya pesa au kufanikisha mkopo wa huu ujenzi. Ila kwa sasa ngoja mzee amalizie project zake kwanza.Badala ya mwendokasi kwanini tusiweke Metro line kutoka Bunju Hadi Posta? Hii inawezekana kupita juu Kwa juu katikati ya barabara bila kuathiri magari ya kawaida. Train za umeme full automated bila dereva zitatumika. Station zinakuwa juu huko huko abiria wanapanda na kushuka kwa kidaraja juu ya barabara. Treni moja ni Sawa na mabasi ya mwendokasi manne au matano hivyo zinaweza kubeba watu 500-600 Kwa mara moja. Mfano wake ni hapo chini. Picha ya tatu ni stationView attachment 984917View attachment 984918View attachment 984919
We jamaa una akili sana! Tatizo viongozi wetu bado wana fikra za kijamaa .Fikra na Akili za Kimasikini ndilo tatizo kuu la nchi nyingi za kiafrika. Hapo mtoa mada kama ulivyosema, nakuongezea jambo.
Kungeanzishwa Road Toll, serikali iwaite matajiri wetu wa ndani wawape Tenda ya kujenga barabara za juu, kitu kinaanzia Bunju mpaka Posta, Gomz mpaka Posta, Mbagala mpaka Posta, Mbezi mpaka Posta, wakimaliza kujenga wanapewa miaka 10 au mpaka 15 kuiendesha kurudisha gharama na kupata faida then serikali inakuja kuichukua kwa asilimia 80 na 20 anapata aliyejenga.
Sasa kuwa Tajiri nchi hii ishaonekana dhambi, kila kitu Serikali inataka ifanye yenyewe kwa asilimia 100. Neno la Mjenga nchi ni Mwananchi mwenyewe kwa Awamu hii sielewi maana yake ni nini.
Bado wana fikra za kizamani wanaogopa ukijenga barabara unaweza kuwa,na influence kwa wananchi kuliko mwakilishi kwa serikali.I agree with you me nimeona watu binafsi wakitaka kuweka lami barabara zao wakizuiwa na serikali had nilishangaa mno aisee. We need to change our mindsets wazo lako ni best
Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu ya tano kipaumbele ni miundo mbinu. Kuna sgr,madaraja, airports etc. Kwahio project kama hii wataipenda. Nina uhakika big boss akiiona hii ataifikiria.This is perfect tatizo litakuja ktk mambo ya pesa. Siyo kama hatuna hasha...kipaumbele cha serikali ya awamu ya tano kwa sasa haiwezi kuanzisha mradi mkubwa kama huu kwa ghafla. Hapa consultation inaweza chukua miaka hata mitano mpaka allocation ya pesa au kufanikisha mkopo wa huu ujenzi. Ila kwa sasa ngoja mzee amalizie project zake kwanza.
Congo siyo Kongowe
Akina Salary Slip huwaogopi? Maana wakisikia utaitwa majina hadi basiI hope wafanya maamuzi wataona kama wewe.
Ah kelele za mpangaji hazizuii mwenye nyumba kulala.Akina Salary Slip huwaogopi? Maana wakisikia utaitwa majina hadi basi
luas ireland - Google SearchGood idea na solution sustainable kujenga mwendokasi ni kuongeza tatizo kwa wasafiri maana hazija solve kitu zaidi ya mateso matupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi leo uliandamana?Akina Salary Slip huwaogopi? Maana wakisikia utaitwa majina hadi basi
Mie sijawahi kufanyakazi serikalini au katika mashirika ya Umma! Ofisi yangu ipo ubungo stand nasukuma mkokoteni. Kwa mantiki hiyo najivunia kujiajiri cc cariha nishambebea mzigo wake na kuuweka katika bonge la Lexus yake akanipa mtonyo babu kubwaVipi leo uliandamana?
Wazo zuri lakini nina wasiwasi fulani:Badala ya mwendokasi kwanini tusiweke Metro line kutoka Bunju Hadi Posta? Hii inawezekana kupita juu Kwa juu katikati ya barabara bila kuathiri magari ya kawaida. Train za umeme full automated bila dereva zitatumika. Station zinakuwa juu huko huko abiria wanapanda na kushuka kwa kidaraja juu ya barabara. Treni moja ni Sawa na mabasi ya mwendokasi manne au matano hivyo zinaweza kubeba watu 500-600 Kwa mara moja. Mfano wake ni hapo chini. Picha ya tatu ni stationView attachment 984917View attachment 984918View attachment 984919
Line zipo mbili, ya kwenda na kurudi. Zinafuatana kila dakika tano au kumi nyingine inafuata.Wazo zuri lakini nina wasiwasi fulani:
1. Kama itakua na njia moja tu itakayotumika kwenda na kurudi. Halafu kama treni moja ni sawa na basi tano za hizi mwendokasi wetu.
Hapo kitakachosaidi ni kupunguza muda wa safari kwa asilimia zisizozidi 25 tu.
Sababu ya kuhitimisha hivyo:
Kwa ile nyomi ya Gerezani - Kimara tunaona basi ndefu za brt zikiongozana full mchongoma zaidi ya basi nane au tisa wakati mwingine zikienda safari moja. Na wakati huohuo kuna nyingine zinakua zinaridi kufata nyomi ingine.
Hiyo metro line itakua safari moja yenye uwiano wa basi tano. Kwa speed ile ile isiyozidi 60km/h. Na itatumia muda mwingi sana kushusha na kupandisha abira kutokana na uwingi wake hasa wale wa njiani.
Kitakachosaidia kupunguza muda kidogo ni kwamba kutakua hakuna taa zitakazosimamisha usafiri baina ya kituo na kituo.
Naamini katika metro line ila ziwe katika mfumo huu huu wa njia za brt. Hizi zikienda..hizi zinarudi..
Hongera Mkuu kuleta hilo wazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo iko vizuri..tufunge mikanda ipatikane moja kilwa road ingine bagamoyo road. Itapendeza zaidi.Line zipo mbili, ya kwenda na kurudi. Zinafuatana kila dakika tano au kumi nyingine inafuata.
Kuna jamaa yangu nilikuwa nazungumza nae pia Ofisini kwangu alikuja akanambia swala hilo hilo la Ujamaa. Kwani hatuwezi kuuacha ili twende na spidi ya Dunia! Maana hao waliokuwa Wajamaa wenyewe walishaga badilika kitambo sana.We jamaa una akili sana! Tatizo viongozi wetu bado wana fikra za kijamaa .
Yaani ukitaka kujitolea kujenga jengo la shule mlolongo ni mrefu mpaka utakukatisha tamaa
Sent using Jamii Forums mobile app