leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,405
- 1,815
Na mimi naombea wapite waone.Natumai wahusika wanapitaga humu wanaweza kuufanyia kazi mkuu.
Wazo murua kabisa![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie mbona nipo matombo hapa chini ya muembe na cheza na marimba ya mzungu
Upande wa kushoto kwenda kulia kurudi. Ikifika mwisho inarudi kinyumanyuma. Electric train haina dereva.Halafu zitapishanaje sasa huko juu jameni, au itakua moja ya kwenda na kugeuka. Nawaza ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kuwa na jiji tamu lenye hadhi ya kimataifa inawezekana hasa kupitia watu wenye exposure.Na mimi naombea wapite waone.
Sii nao wanakuwa na mafoleni kaka.Aisee....wanapata tabu gani?
Dada dunia hii hakuna utakachotaka ukifanye wewe peke yako kifike mbali. Lazima ukitaka kufika mbali lazima ushirikiane na watu hasa Potential Personels. Mfano mzuri ni Dubai tunayoiona leo, ule mji haukujengwa na Mwarabu ila alichokifanya ni kushirikiana na mzungu kutokana na rasilimali aliyonayo yeye miji yake ijengeke.I agree with you me nimeona watu binafsi wakitaka kuweka lami barabara zao wakizuiwa na serikali had nilishangaa mno aisee. We need to change our mindsets wazo lako ni best
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo zuri lakini tumalize zile basic necessities kwanza.Badala ya mwendokasi kwanini tusiweke Metro line kutoka Bunju Hadi Posta? Hii inawezekana kupita juu Kwa juu katikati ya barabara bila kuathiri magari ya kawaida. Train za umeme full automated bila dereva zitatumika. Station zinakuwa juu huko huko abiria wanapanda na kushuka kwa kidaraja juu ya barabara. Treni moja ni Sawa na mabasi ya mwendokasi manne au matano hivyo zinaweza kubeba watu 500-600 Kwa mara moja. Mfano wake ni hapo chini. Picha ya tatu ni stationView attachment 984917View attachment 984918View attachment 984919
Exposure muhimu sana.Kumbe kuwa na jiji tamu lenye hadhi ya kimataifa inawezekana hasa kupitia watu wenye exposure.
Chamsingi tubadili thinking mentality yetu kua inawezekana hasa tukiamua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata huko twapigana vikumbo tuu...hapa matombo sie tunatembea tuu plus afya zetu zinakuwa imara zaidiFoleni umetaka wewe. Usipotaka foleni unapanda Metro
Pia inaweza kujenga kwa awamu. Mfano Mwenge-Posta 10km.Madrid's recently-opened Metrosur line is 41 km long, with 28 stations, yet was completed in four years at around $58m per km.
Recent expansions in Paris and Berlin cost about $250 million per km.
Gharama zinabebeka....watekelezaji wamekusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ambavyo kuna mwendokasi wakati huko unaposema hamna hata km ya changarawe.Wakati wewe unawaza dar kuwekwe hizo metro line kuna wilaya,vijiji haijahi kuona lami toka tupate uhuru.
Kupanga ni kuchagua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikamalizia na neno "kupanga ni kuchagua"Kama ambavyo kuna mwendokasi wakati huko unaposema hamna hata km ya changarawe.
Sure Bunju Mwenge 27 km awamu ya pili...baada ya hapo biashara zimenoga na hakutakuwa na gharama extra kv compensations hili ni wazo la mwaka 2019.Pia inaweza kujenga kwa awamu. Mfano Mwenge-Posta 10km.
Ah sasa wote kivipi mje matombo...kwani wote ni akina mkude simba? Wengine wanaweza kwenda nyegezi, igunga...Sawa mkuu wote tutahamia Matombo