Bunju-Posta Metro Line

Bunju-Posta Metro Line

Huku Bunju barabara finyu alafu wanahamishia huku mabasi ya mikoani! Wafikirie kuitanua barabara maana foleni imekuwa kero sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gharama ni kubwa sana dsm itaunganishwa na mwendokasi na sea ways, kila kitu kipo kwenye mpango, BRT 5. Ipo design sasa, BRT 4 inakuja, ufanisi katika uendeshaji wa huu mradi utafuati, anatafutwa mtoa huduma mwingine ambaye atashirikiana na huyu wa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yangu nilikuwa nazungumza nae pia Ofisini kwangu alikuja akanambia swala hilo hilo la Ujamaa. Kwani hatuwezi kuuacha ili twende na spidi ya Dunia! Maana hao waliokuwa Wajamaa wenyewe walishaga badilika kitambo sana.

#SisiTunakwamiaWapiiii!!!!!?
Kwani bado tupo kwenye ujamaa?!
 
Gharama ni kubwa sana dsm itaunganishwa na mwendokasi na sea ways, kila kitu kipo kwenye mpango, BRT 5. Ipo design sasa, BRT 4 inakuja, ufanisi katika uendeshaji wa huu mradi utafuati, anatafutwa mtoa huduma mwingine ambaye atashirikiana na huyu wa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama kubwa ndio ila tunaweza. Kama tunajenga sgr kwa jumla ya 7tr hii haitushindi. Tunajenga kwa phases hata miaka 15.
 
Sema ndio ivyo tena mkuu, haitawezekana tena, BRT ndio imekua choice yetu kwa dsm labda waiandae dodoma, tuombebifanishi katika uendeshaji maana kwa kweli wanatuangusha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
BRT inabaki kwenye route fulani,then Metro upande mwingine. Mfano London kuna underground train, overground train,tram na London buses.
 
Ila tunayoyafanya sasa london waliyafanya miaka 100 iliyopita , wote tunapitia njia ile kwa sasa uwezo hauturuhusu, tukisema tufanye haya sasa hivi wananchi tutahenyeka kweli kweli, wenzetu walikusanya fedha kwa njia haramu kama utumwa madini n.k kujenga nchi zao sisi hatuwezi kuyafanya hayo kwa mda huu, madikteta walijenga miundo mbinu kwa nguvu kazi za bure kabisa mf ujerumani, italy nk...maendeleo ya viwanda nayo yalijaa unyonyaji tuu...hatuwezi kufikia huko kama wao tena tujikune usawa wa mkono wetu, tukitaka zaidi inabidi kama nchi tukunwe afu siyo poa
BRT inabaki kwenye route fulani,then Metro upande mwingine. Mfano London kuna underground train, overground train,tram na London buses.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila tunayoyafanya sasa london waliyafanya miaka 100 iliyopita , wote tunapitia njia ile kwa sasa uwezo hauturuhusu, tukisema tufanye haya sasa hivi wananchi tutahenyeka kweli kweli, wenzetu walikusanya fedha kwa njia haramu kama utumwa madini n.k kujenga nchi zao sisi hatuwezi kuyafanya hayo kwa mda huu, madikteta walijenga miundo mbinu kwa nguvu kazi za bure kabisa mf ujerumani, italy nk...maendeleo ya viwanda nayo yalijaa unyonyaji tuu...hatuwezi kufikia huko kama wao tena tujikune usawa wa mkono wetu, tukitaka zaidi inabidi kama nchi tukunwe afu siyo poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejaribu kukuonesha kuwa mji unaweza kuwa na more than one transport system. Sio kwamba ukiwa na BRT huwezi kuwa na Metro lines.
 
Kiuhalisia hatuwezi kukamilisha hili ulilopendekeza nchi ni kubwa sana kuijenga yote kwa wakati huu niseme sikosi sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia inajengwa nchi nzima? Hivi vitu vinajengwa kwa awamu. Magu angekuwa na mawazo kama yako asingejenga hata km moja ya sgr.
 
Back
Top Bottom