Haya bna tutalifanyia kaziPesa tunazo.....
Morogoro tayari kuna kuna BRTBunju posta kuna ile ngalawa iliyonunuliwa wameoewa wanajeahi naona wanaitest then mtapita bahatini mradi huo ulitakiwa uwe morogoro road mana ndo idadi kubwa ya magar na muhim coz international road
Sent from my iPhone using JamiiForums
Morogoro tayari kuna kuna BRT
Bado hatuna uwezo huoBadala ya mwendokasi kwanini tusiweke Metro line kutoka Bunju Hadi Posta? Hii inawezekana kupita juu Kwa juu katikati ya barabara bila kuathiri magari ya kawaida. Train za umeme full automated bila dereva zitatumika. Station zinakuwa juu huko huko abiria wanapanda na kushuka kwa kidaraja juu ya barabara. Treni moja ni Sawa na mabasi ya mwendokasi manne au matano hivyo zinaweza kubeba watu 500-600 Kwa mara moja. Mfano wake ni hapo chini. Picha ya tatu ni stationView attachment 984917View attachment 984918View attachment 984919
Sina uhakika saana. Ila nadhani sisi tupo kwenye Mixed Economy ila Misingi ya kijamaa ndiyo inayoendesha nchi bado.Kwani bado tupo kwenye ujamaa?!
Hivi kwa nini sisi tunakuwa tunajificha kwenye Kichaka cha kutokuwa na Uwezo!???Bado hatuna uwezo huo
Kwani Posta kuna nini hadi mpendekeze route ya Bunju-Posta? Kwanini isiwe Bunju-Kariakoo au Bunju-Karakata.Ni wazo jema, hata boat Bagamoyo -Posta inawezekana
Bunju-kariKoo utashuka Moroko utapanda mwendokasi,utafanya hivyo hivyo kwenda kwingine. Huko kwingine kuna mwendokasi aka BRT.Kwani Posta kuna nini hadi mpendekeze route ya Bunju-Posta? Kwanini isiwe Bunju-Kariakoo au Bunju-Karakata.
Posta pale watu huwa wanaenda kufanya nini?
Gharama kiasi gani? Kama tunajenga SGR kwa 7tr kwanini hii tushindwe? Unajenga kwa phase kama SGR au BRT inavyojengwa.Ni gharama sana kwa nchi kama tz kuweza kuwa na underground au over ground metro system. Chakushangaza London underground subway system imeanzishwa 1863.
Pengine mbadala wake kungekuwa na "expresss way" inayojitegemea mpaka labda tegeta yenye road toll ambapo magari yote yangepita, hiyo ni feasible kabisa. Kwa mfano Ghana wanayo Accra Tema Highway yenye 19km yakulipia ambayo ni "non-stop" na ilianzishwa na Kwame Nkurumah 1965.
Kingine kukiwa na angalau 6 lanes na overpass nadhani foleni inakuwa historia.
Wanashaurika? WAO HAWAJARIBIWII hope wafanya maamuzi wataona kama wewe.
Wazo zuri sana... nasikia South Africa moundombinu ya barabara imejengwa na watu binafsi!!Fikra na Akili za Kimasikini ndilo tatizo kuu la nchi nyingi za kiafrika. Hapo mtoa mada kama ulivyosema, nakuongezea jambo.
Kungeanzishwa Road Toll, serikali iwaite matajiri wetu wa ndani wawape Tenda ya kujenga barabara za juu, kitu kinaanzia Bunju mpaka Posta, Gomz mpaka Posta, Mbagala mpaka Posta, Mbezi mpaka Posta, wakimaliza kujenga wanapewa miaka 10 au mpaka 15 kuiendesha kurudisha gharama na kupata faida then serikali inakuja kuichukua kwa asilimia 80 na 20 anapata aliyejenga.
Sasa kuwa Tajiri nchi hii ishaonekana dhambi, kila kitu Serikali inataka ifanye yenyewe kwa asilimia 100. Neno la Mjenga nchi ni Mwananchi mwenyewe kwa Awamu hii sielewi maana yake ni nini.
Nacwatu binafsi wakijenga serikali itawa sabotage mpaka wajute awamu ya5 haikubaliani na hayo mambo ya private sector. Labda tudubiri 2025Wazo zuri sana... nasikia South Africa moundombinu ya barabara imejengwa na watu binafsi!!
Tukikaa kusuburi serikali tutasubiri miaka 200..
Ya london bila shaka ilijengwa na watumwa (free labour)Ni gharama sana kwa nchi kama tz kuweza kuwa na underground au over ground metro system. Chakushangaza London underground subway system imeanzishwa 1863.
Pengine mbadala wake kungekuwa na "expresss way" inayojitegemea mpaka labda tegeta yenye road toll ambapo magari yote yangepita, hiyo ni feasible kabisa. Kwa mfano Ghana wanayo Accra Tema Highway yenye 19km yakulipia ambayo ni "non-stop" na ilianzishwa na Kwame Nkurumah 1965.
Kingine kukiwa na angalau 6 lanes na overpass nadhani foleni inakuwa historia.