cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Hyo ya binafsi mfano barabara za mtaani uruhusiwi kujenga eti mpaka kibali, tatizo letu nchi yetu viongozi wetu do not think of the future project wao wanachojali ten percent, mfano hyo mikataba tunayoingiaga nao kwanini wasipewe conditions za kujenga miundo mbinu muhimu kwenye eneo husika pia nakuwaendeleza wataalamu wetu Ili ku exchange technology. Waarabu wao wameweza kutumia rasilimali zao kuaga umaskini but the case is different In Africa. Miundo mbinu ni muhimu for future sustainable ya maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada dunia hii hakuna utakachotaka ukifanye wewe peke yako kifike mbali. Lazima ukitaka kufika mbali lazima ushirikiane na watu hasa Potential Personels. Mfano mzuri ni Dubai tunayoiona leo, ule mji haukujengwa na Mwarabu ila alichokifanya ni kushirikiana na mzungu kutokana na rasilimali aliyonayo yeye miji yake ijengeke.
Hapa kwetu badala ya kuwapa conditions za namna hiyo kwenye sehemu wanazo Exploit rasilimali zetu waijenge ile miji tukageuka wezi wa rasilimali zetu wenyewe. Poor Us. Fakin Poor
Sent using Jamii Forums mobile app