Bunju-Posta Metro Line

Bunju-Posta Metro Line

We usituletee matatizo hapa! Hayo Ma SGR, Flyover na Bombadier yamesababisha mwaka wa tatu watu hawajaongezewa mishahara....kujenga hio metro si ndio tutaambiwa mishahara tulipwe siku za sikukuu tu!!!
Tutajifunga mikanda.
 
Badala ya mwendokasi kwanini tusiweke Metro line kutoka Bunju Hadi Posta? Hii inawezekana kupita juu Kwa juu katikati ya barabara bila kuathiri magari ya kawaida. Train za umeme full automated bila dereva zitatumika. Station zinakuwa juu huko huko abiria wanapanda na kushuka kwa kidaraja juu ya barabara. Treni moja ni Sawa na mabasi ya mwendokasi manne au matano hivyo zinaweza kubeba watu 500-600 Kwa mara moja. Mfano wake ni hapo chini. Picha ya tatu ni stationView attachment 984917View attachment 984918View attachment 984919
Lol kwa nini tusiiweke underground ikawa metro system kabisa?
Good ideas Tatizo $$$$$$$$$$
 
Jiji la Dar es salaam lliifanyiwa utafiti wa kina na wataalamu kutoka south america walilipwa na world bank kama sijakosea. Report yao iliongelea options zote mpaka hii ya mleta mada, BRT ili onekana itafaa zaidi. Kama mtu anaweza weka ile report itakua safi,
ilichambua vizuri sana hizo options.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa upande wangu bado sijakumbana na hiyo report!..
 
Ni wazo zuri sana,.. kwa hakika liko ndani ya uwezo wetu... Natumaini walioko kwenye nafasi za mipango ya kisera kama wanapita pita humu walichukue ... na zaidi sana walifanyie kazi .
 
Back
Top Bottom