Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,513
- 113,637
- Thread starter
-
- #21
hili ni kosa la 'name calling' na adhabu yake ni ban, sikuripoti kwa mode ila kuwa mwangalifu
Mjinga ni yupi sasa wewe,Wenje au Mleta mada..Hayo ni mambo ya kawaida tu wewe! unadhani nchi ngapi duniani hazina mikopo?? Acha kushabikia ujinga
wewe usiyeelewamjinga ni yupi sasa wewe,wenje au mleta mada..
Salimia, kwanza nakusalimia, pili crap ni ipi, aliyosema Wenje, au niliandika Membe analipuliwa, kama ni mimi, alichokuwa anafanya Wenje ni kumpaka mafuta Membe, kumuimbia nyimbo za mapambio au kumuwasha?. Wewe subiria jibu la tuhuma kwa wanabalozi ambao nchi yetu ndio kwanza lazima iwalambe lambe miguu kuomba misaada!.Crap! Wenje is just giving out his opinion wewe unasema msumari, mbona mimi naangalia hapa naona ni mjadala wa kawaida sana? Au umetumwa kumjenga Wenje baada ya wana Mwanza kumtuhumu kuwadanganya na kuhamia Dar? Na kwamba alipokuwa anaomba kura alijidai mlokole na sasa anakunywa pombe ya kufa mtu? Stop manipulating people here!
Hiyo personal life unayoongelea ni ipi? mbona mwingine alisema Membe hawezi kuongoza nyumba yake,, wewe hukuona kama hiyo nayo ni personal?? you are not fair bali umeweka mbele ushabiki tuMkuu si uchangie mada bila ku-atack mtajwa personally. Ina tija gani kuingiza personal life ya Wenje ktk mada hii. Wewe unaagalia TV na kumwelewa Wenje unavyomuelewa na mwingine vivyo hivyo. Wote mna haki ya maoni yenu lakini si sahihi kumatack mtu directly namna hiyo. Jenga hoja yako!
Hapo penye rangi nadhani ulitaka kusema weak? Rudi darasani au tumia lugha ya Taifa siyo kukurupuka tuMembe hawezi kuwa rais wa nchi hii, he is just too week, analialia tuu, he just can't be period!!!!
Mjinga ni yupi sasa wewe,Wenje au Mleta mada..
Hakika ni kichekesho maana hicho kinachoitwa kulipua ni upuuzi mtupu maana kila tukiangalia hakuna jipya zaidi ya yale ambayo tumezoea kuyasikia na mengine ni yale ya wale wapinzani wake kama issue ya shamba la Arusha ambalo tukio lake lilitokea mwaka 1986 wakati huo Membe akiwa ni mtumishi wa kawaida wa serikali. Hivi unaposema hela iwekwe kwenye escrow account, ana maana gani? Anajua Escrow Account matumizi yake huwa ni vipi? Kwa bahati mbaya sana wakati anaongea hili, bunge la Uingereza na serikali vimeshaiamuru BAE walipe fedha hizo haraka serikalini.
Mimi nashangaa mtu kulalamikia ziara za nje wakati hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa kimataifa na linafanywa na kila nchi. Kwani Marekani inapotuma rais au waziri wake wa mambo ya nje kote duniani anatembeza bakuli? Ninachokiona hapa ni ama upeo mdogo wa shughuli za kimataifa au ni kutumiwa katika siasa za amji taka.
Ningeshangaa sana kama Mbopo alias Hans Mwambene ungekosekana kufatilia mjadala huu na kumuacha mgombea wetu abaki peke yake. ViVA Mbopo Viva, Viva Mwambene Viva na Viva Membe viva safari hii hadi ikulu. Mtabaki na vijiba vya myo na fedha tunaendelea kutafuna ziara kama kawaa.
Wenje amesema kambi ya upinzani, inapinga ile chanji ya Rada, kurudishwa serikalini. Huu ni ukiukwaji mkubwa wa mising ya utawala bora.
Kwanza wanataka watuhumiwa wote na wahusika watinge mahakamani.
Wanataka fedha hizi ziingizwe kwenye akaunti maalum (Escow Acc.)
Pia wameitaka BAE ilizilipe hizo fedha mapema iwezekanavyo.
Kumbe ulokole dili ktk siasa za bongo eeh..!! Mimi mwenyewe wa bugarika Mwanza, mbona sijamtuhumu Wenje kama unavyoropoka hapa...Crap! Au umetumwa kumjenga Wenje baada ya wana Mwanza kumtuhumu kuwadanganya na kuhamia Dar? Na kwamba alipokuwa anaomba kura alijidai mlokole na sasa anakunywa pombe ya kufa mtu? Stop manipulating people here!
Wewe umeajiriwa na nani??najua wana magamba makundi yenu ndani ya chama yameajiri watu kwenye mitandao kwa malipo maalum, bilashaka wewe ni mwajiriwa wa membe, wapo waajiriwa wa lowasa, wa mzee 6 na team yake nzima ya CCJ na wengine kibao, nakushauri kama kazi zinasumbua mjini bora urudi kijijini ukalime utaheshimika kuliko unavyojidhalilisha na buku 2 za membe. acha kujiuza ndugu, rudi ukalime.