BUNGENI: Wenje amlipua Membe; yeye atoa onyo kwa mabalozi!

RED: Kama nimemsikiliza vizuri Wenje nasema hakusema hivyo. kasema ni dharau kubwa kwa serikali yetu kutopewa hiyo chenji na badala yake kupewa ngos za waingereza. amepigilia msumari kuwa serikali iwachukulie hatua "wazalendo" waliohusika katika uchafu huo au la wananchi wanaweza shindwa amini usalama wa hiyo chenji itakaporudishwa.

mchango wa waziri kivuli nimeupenda hadi wana magamba wanamuunga mkono e.g. Mh Manyanya
MAKAH, nadhani tofati yetu ni uelewa wa alichokisema Wenje, amesema kambi ya upinzani inapinga chanji kurudishwa serikali bali wanaunga mkono chenji irudishwe ila iwekwe kwenye akaunti maalum. Akasema kama ni maofisa wa serikali ndio waliofanya 'madudu ' yale, tutawaaminije tena tuwarudishie na hiyo chanji wasije wakaifanyia 'madudu' mengine?.
 
Hakika ni kichekesho maana hicho kinachoitwa kulipua ni upuuzi mtupu maana kila tukiangalia hakuna jipya zaidi ya yale ambayo tumezoea kuyasikia na mengine ni yale ya wale wapinzani wake kama issue ya shamba la Arusha ambalo tukio lake lilitokea mwaka 1986 wakati huo Membe akiwa ni mtumishi wa kawaida wa serikali. Hivi unaposema hela iwekwe kwenye escrow account, ana maana gani? Anajua Escrow Account matumizi yake huwa ni vipi? Kwa bahati mbaya sana wakati anaongea hili, bunge la Uingereza na serikali vimeshaiamuru BAE walipe fedha hizo haraka serikalini.

Mimi nashangaa mtu kulalamikia ziara za nje wakati hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa kimataifa na linafanywa na kila nchi. Kwani Marekani inapotuma rais au waziri wake wa mambo ya nje kote duniani anatembeza bakuli? Ninachokiona hapa ni ama upeo mdogo wa shughuli za kimataifa au ni kutumiwa katika siasa za amji taka.

campare frequency ya hizo safari.mbona huitaji IQ kubwa kutambua ukweli?
 
Hakika ni kichekesho maana hicho kinachoitwa kulipua ni upuuzi mtupu maana kila tukiangalia hakuna jipya zaidi ya yale ambayo tumezoea kuyasikia na mengine ni yale ya wale wapinzani wake kama issue ya shamba la Arusha ambalo tukio lake lilitokea mwaka 1986 wakati huo Membe akiwa ni mtumishi wa kawaida wa serikali. Hivi unaposema hela iwekwe kwenye escrow account, ana maana gani? Anajua Escrow Account matumizi yake huwa ni vipi? Kwa bahati mbaya sana wakati anaongea hili, bunge la Uingereza na serikali vimeshaiamuru BAE walipe fedha hizo haraka serikalini.
Mimi nashangaa mtu kulalamikia ziara za nje wakati hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa kimataifa na linafanywa na kila nchi. Kwani Marekani inapotuma rais au waziri wake wa mambo ya nje kote duniani anatembeza bakuli? Ninachokiona hapa ni ama upeo mdogo wa shughuli za kimataifa au ni kutumiwa katika siasa za amji taka.

Kasome tena kuwa zitakuwa chini ya usimaamizi wa BUNGE,
Pia wansema wantaka kununua Vitabu,madawati na Kujenga Nyumba za Walimu, yangu macho nasubiri hilo litendeke.

Hivi unajua kuwa hii RADA ilinunuliwa kwa hela za msamaha wa MADENI kutoka serekali ya Uingereza na zili pitia Barclays Bank na ndio kisa cha hii BENKI kurudi Bongo kwa Kasi?

Na makubaliano ilikuwa zitumike kwenye kuendeleza Elimu ya msingi na ilipangwa kila mwaka mwanfunzi apewe 10,000/= ila zilifika 1,300/= tu? Kasome ripoti za HAKIELIMU utapata kitu.
 
Umeona eeh? Hizi ni siasa za majitaka ambazo hazina mashiko yoyote, zaidi ni kutaka kuonekana eti naye Wenje kaongea.....upuuzi mtupu
Kipofu akimwongoza kipofu mwenzake wote wanatumbukia shimoni!nani alikwambieni kuwa Ccm wameshachagua mgombea urais wa awamu ijayo?ama kweli tz tuna kazi ya ziada kuelimisha wajinga maana ni wengi mno,mpaka humu Jf!CCM haijapiga kura za maoni kuchagua mgombea urais 2015!kama mnabisha thibitisheni,mkishindwa kuthibitisha basi nyinyi ni Wanafiki,wazushi,hamfai au ni vibaraka wa Membe?acheni ukilaza!
 
MAKAH, nadhani tofati yetu ni uelewa wa alichokisema Wenje, amesema kambi ya upinzani inapinga chanji kurudishwa serikali bali wanaunga mkono chenji irudishwe ila iwekwe kwenye akaunti maalum. Akasema kama ni maofisa wa serikali ndio waliofanya 'madudu ' yale, tutawaaminije tena tuwarudishie na hiyo chanji wasije wakaifanyia 'madudu' mengine?.
kwahiyo unaamisha MAKAH uelewa wake ni mdogo kuliko wewe?
 
Kipofu akimwongoza kipofu mwenzake wote wanatumbukia shimoni!nani alikwambieni kuwa Ccm wameshachagua mgombea urais wa awamu ijayo?ama kweli tz tuna kazi ya ziada kuelimisha wajinga maana ni wengi mno,mpaka humu Jf!CCM haijapiga kura za maoni kuchagua mgombea urais 2015!kama mnabisha thibitisheni,mkishindwa kuthibitisha basi nyinyi ni Wanafiki,wazushi,hamfai au ni vibaraka wa Membe?acheni ukilaza!
Mbona una hasira sana mkuu, ushagonga viloba vingapi??
 
Hakika ni kichekesho maana hicho kinachoitwa kulipua ni upuuzi mtupu maana kila tukiangalia hakuna jipya zaidi ya yale ambayo tumezoea kuyasikia na mengine ni yale ya wale wapinzani wake kama issue ya shamba la Arusha ambalo tukio lake lilitokea mwaka 1986 wakati huo Membe akiwa ni mtumishi wa kawaida wa serikali. Hivi unaposema hela iwekwe kwenye escrow account, ana maana gani? Anajua Escrow Account matumizi yake huwa ni vipi? Kwa bahati mbaya sana wakati anaongea hili, bunge la Uingereza na serikali vimeshaiamuru BAE walipe fedha hizo haraka serikalini.Mimi nashangaa mtu kulalamikia ziara za nje wakati hiyo ni sehemu ya ushirikiano wa kimataifa na linafanywa na kila nchi. Kwani Marekani inapotuma rais au waziri wake wa mambo ya nje kote duniani anatembeza bakuli? Ninachokiona hapa ni ama upeo mdogo wa shughuli za kimataifa au ni kutumiwa katika siasa za amji taka.
Vasco da Gama wetu kaondoka nchini katuachia giza!na sisi tunapongeza ziara za kuelekeza shimoni uchumi wetu!maajabu yanaendelea!tuendelee kutetea upuuzi?
 
hii haitazuia membe kuwa rais 2015

wanataka kumchafua

kwa kuchakachua sawa unaweza kuongea kwa uhakika kiasi hicho as if umeshahesabu kura! Suala la nani kuwa rais hebu tuachie wananchi tutaamua wenyewe wakati ukifika ili mradi msichakachue kama mlivyozoea!
 
Kuna tofauti kubwa sana tena sana kati ya mkopo na u-matonya! Anachoongelea Wenje ni hii tabia ya viongozi wetu wakuu kubisha hodi kwa wanaume wengine kila kukicha wakiomba hela ambazo kimsingi tuna uwezo wa kuzitapata kama tutaziba mianya ya ufujaji. Mfano Kama Balozi majaar anaomba Marekani yote Billioni 3 tatu ili kununua madawati kwa shule za kitanzania, huku Jairo anachangisha over a billion kupitisha bajeti! at the same time Ikulu inaleta budget yake ya mwaka 135 billion bila kueleza nini hasa kinanunuliwa na hizo bilioni! Na pia ukikomesha posho za wabunge within 2 months utakuwa tayari umenunua madawati yote anayoembea Balozi Majaar. Umatonya ni kasumba wala sio shida! Ni kukosa aibu!
imetulia wabishe tena.
 
kwa kuchakachua sawa unaweza kuongea kwa uhakika kiasi hicho as if umeshahesabu kura! Suala la nani kuwa rais hebu tuachie wananchi tutaamua wenyewe wakati ukifika ili mradi msichakachue kama mlivyozoea!
I support you kwamba suala la nani Rais si mjadala kwa sasa, ila pia tukomeshe basi tabia ya kuchafua majina ya watu kwa baseless allegations kwa sababu ya personal vendetta.
 
huyo anaitwa joka la mdimu,.hana rekodi yoyote ya kiutendaji,..hana msimamo,aliwadanganya waislam kuhusu mahakama ya kadhi,..sitta wa ccj anautaka urais na yeye anautaka,..patachimbika
 
Hatuoni mlipuko hapa zaidi ya majungu ya mtoa hoja. Nimeskiliza wenje zaidi alikuwa anajijenga kisiasa pia aliyemwandikia hakumpa mpangilio vizuri. Membe did well in his speech. Ila shibuda mwisho Wa speech yake niliona Kama anawatwanga viongozi Wa CDM?? Baada ya hapo ilibidi niondoke niwahi kazini sijui kilichoendelea maana nilikuwa naangalia Kwenye mgahawa
 
huyo anaitwa joka la mdimu,.hana rekodi yoyote ya kiutendaji,..hana msimamo,aliwadanganya waislam kuhusu mahakama ya kadhi,..sitta wa ccj anautaka urais na yeye anautaka,..patachimbika
Hapo penye rangi unaweza kututhibitishia wapi walitamka kama wanautaka urais? nyie ndiyo wale mnaodandia treni kwa mbele nyie. Usione kichaka tu ushabanwa mav... Kaa kimya kama huna uhakika na unachosema
 
Hatuoni mlipuko hapa zaidi ya majungu ya mtoa hoja. Nimeskiliza wenje zaidi alikuwa anajijenga kisiasa pia aliyemwandikia hakumpa mpangilio vizuri. Membe did well in his speech. Ila shibuda mwisho Wa speech yake niliona Kama anawatwanga viongozi Wa CDM?? Baada ya hapo ilibidi niondoke niwahi kazini sijui kilichoendelea maana nilikuwa naangalia Kwenye mgahawa
You said it all Songa.................
 
Mbopo ni kilaza sana,hauwezi ukalinganisha maana ya safari za Marekani na zile za Tanzania,popote unapomwona kiongozi wa US basi ujue ama anakagua majeshi yake,ama anaimport demokrasi,ama kuna mafuta na gesi,ama kuna madini ya aina mbalimbali,iwe Africa,Ulaya,Latina ama Asia hizo ndo nguzo kuu za safari za wamarekani i.e kuratibu masrahi ya nchi yao

Tofauti na nyinyi mnaojitembeza na Vasco wenu kila kukicha kama mbwa aliye kwenye'heat period',dunia nzima kila mnakopita mnapigiwa makofi ya uzandiki na dhihaka,hebu nenda pale Rwanda uangalie ni lini na wapi Kagame anakuwa nje ya nchi na matokeo yake kwa nchi yake.Mbopo jifunze somo linaitwa Comperative politics utaweza kuondoa ujinga
 

safi sana wenje maana CCM wamezidi kutufanya wajinga



Mbunge wa Nyamagana, Mhe. Ezekiel Wenje, ambaye pia ni waziri kivuli wa Mambo ya Nje, amemlipua Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Bernad Membe kuhuhusiana na tuhuma za Wanabalozi wa nje kusaidia vyama vya upinzani.

Ulipuaji huu, unaendelea live kutoka bungeni Dodoma kupitia TBC Live!.

Mhe. Wenje amesoma kifungu cha sheria ya mwaka 1964 kinachowaruhusu mabalozi kutembelea popote ili mradi wawasilishe taarifa wizarani, (taarifa hiyo huitwa Note Verbale), hivyo amesema tuhuma za Membe kuwa baadhi ya wanabalozi wasaidia upinzani ili kupindua nchi, ni tuhuma nzito, hivyo amentaka waziri Membe azithibitishe tuhuma hizo au aombe radhi kwa wanabalozi na kwa kambi ya upinzani.

Akifafanua zaidi alisema shutuma hizo pia ziliungwa mkono na Waziri Mkuu aliposema wanabalozi wanajitembelea tuu majimbo ya wapinzani, hivyo akauliza, kumbe tatizo, ni kwa wanabalozi kutembelea majimbo yanayoongozwa na wapinzani?.

Mhe. Wenje, anaendelea kuichana MFA.

Pasco.
 
Back
Top Bottom