mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,400
Kwa hiyo mh Magufuli alivyosema mawaziri wake kutakuwa hakuna upembuzi yakinifu au mchakato unaendelea alizani tutaonaje sasa .. Mawaziri wengine hata Tff hawaijui vizuri kweli serekali ya Magufuli kiboko kwa watanzania.. Serekali inayosifika kwa bomoa bomoa kwa wananchi wake