Umejiuliza kipi kinahusu maslahi ya umma kati ya HOJA ya zitto na ZITTO mtoa hoja? Unaonyesha ulivyo mbinafsi hadi kupofuka kiasi kwamba mahaba yako kwa mtoa hoja yanakufanya ushindwe kuona umuhimu na uzito wa hoja..
QUOTE="Pohamba, post: 15194449, member: 293163"]Leo UKAWA wameanzisha fujo bungeni kupigania kujadiliwa hoja binafsi ya Zitto Zubeir Kabwe huyu 'msaliti asiepaswa kuaminiwa 'hata kidogo kuhusu' TBCCM 'Television waliyowahi kutangaza kuwa haipaswi kuitazama.
Hawa Ukawa kuna Bolt kichwani zimechomoka yafaa wasaidiwe Leo wanaigania hoja ya Zitto kuhusu kuitetea TBC!![/QUOTE]
QUOTE="Pohamba, post: 15194449, member: 293163"]Leo UKAWA wameanzisha fujo bungeni kupigania kujadiliwa hoja binafsi ya Zitto Zubeir Kabwe huyu 'msaliti asiepaswa kuaminiwa 'hata kidogo kuhusu' TBCCM 'Television waliyowahi kutangaza kuwa haipaswi kuitazama.
Hawa Ukawa kuna Bolt kichwani zimechomoka yafaa wasaidiwe Leo wanaigania hoja ya Zitto kuhusu kuitetea TBC!![/QUOTE]