Kwahiyo Ulitaka Aache Kisha Kibarua Chake Kiote Nyasi? Ungemlisha Wewe? Muda Mwingine Muwe Mnatumia AKILI Nyie " NYUMBU ". Pale Yeye Ni KIBARAKA au MTUMWA Tu Hivyo Ni Lazima Afuate Master Wake Anachokisema. AJIRA Zenyewe Ngumu!
Kwan police wanaruhusiwa kuingia bungeni ??Kwani waandishi wa habari wanaruhusiwa kuingia bungeni?
huna hoja zaidi ya mipasho. wabunge wa upinzani kwa hili wako sahihi.....Hizi ndio gharama za kubadili gia angani. Watu wameacha kutafuta wabunge wa kutosha. Tumemshabikia mvi kuwa rais
Unajaribu kujenga hoja dhaifu sana kwa kutumia sababu dhaifu sanaLeo UKAWA wameanzisha fujo bungeni kupigania kujadiliwa hoja binafsi ya Zitto Zubeir Kabwe huyu 'msaliti asiepaswa kuaminiwa 'hata kidogo kuhusu' TBCCM 'Television waliyowahi kutangaza kuwa haipaswi kuitazama.
Hawa Ukawa kuna Bolt kichwani zimechomoka yafaa wasaidiwe Leo wanaigania hoja ya Zitto kuhusu kuitetea TBC!!
Unajaribu kujenga hoja dhaifu sana kwa kutumia sababu dhaifu sana
Ukweli unaujua japo unajaribu kufanya kejeli...
Kilichofanyika Bungeni ni Uhuni uliopitiliza. Ndio tabu ya kuwapa Vichwa maji nafasi zisizowatosha. Kama wanaona TBC wanaingia gharama basi wawaruhusu TV Station zingine zirushe hayo matangazo at their own costsKatika hali ya kusikitisha san,ITV wanaonesha habari kuwa sio tu wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni bali hata waandishi nao walisomeshwa namba kwa kutolewa nje ya bunge ili wasitoe habari ya yanayojiri bungeni.SWALI:Kufukuza waandishi napo ni kubana bajeti?
Hawabani matumizi wanabana haki za raia (mwananchi).Katika hali ya kusikitisha san,ITV wanaonesha habari kuwa sio tu wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni bali hata waandishi nao walisomeshwa namba kwa kutolewa nje ya bunge ili wasitoe habari ya yanayojiri bungeni.SWALI:Kufukuza waandishi napo ni kubana bajeti?
Siasa ziliisha November... Ndio maana Magufuli na Kikwete walimtembelea Sumaye Hospitali... Wewe endelea kuishi kwa chuki tuMuwe mnaweka akiba ya maneno nyie sio wa kupigania TBC kwa jinsi mnavyojifanya kuiponda daily. Tena mkiwa na yuleye mbaya wenu Zitto Zubeir Kabwe. Kwa jinsi mnavoshindana kumuanzishia thread za kashfa na kejeli haikutegemewa leo mkae nae meza moja. Jifunzeni kuwa na akiba ya maneno kwenye Siasa chochote kinawezekana lakin hamjifunzi tu!
nape ndio waziri mbovu kupita wote waliowahi kuwepo wizara ya habari .
Ishu ya Lowassa ni irrelevant hapa hatumzungumzii LowassaLowasa ndio Mtu pekee tangu Dunia iumbwe Mwl nyerere alimkataa kwa tuhuma za wizi akafurushwa bungeni kwa wizi chadema wakamshambulia kwa tuhuma za wizi,Ccm wakamkata kwa tuhuma za wizi.
Hilo waambie Nyumbu wenzio wanaoanzisha uzi humu kusema Zitto asiaminiwe kwa Lolote na kwa taarifa zako hizo thread zimeanzishwa kwa makusudi kipindi hiki cha kuelekea kuanza kwa Bunge.Siasa ziliisha November... Ndio maana Magufuli na Kikwete walimtembelea Sumaye Hospitali... Wewe endelea kuishi kwa chuki tu
Tunaungana kwenye mambo ya muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu... Kwahiyo kama tunaiita ni TBCCM ndio tuache kabisa na kuihoji? Unashauri tuizirie kabisa(tususe)?!
Kwamba kwasababu Zitto hatumuamini na hata katika mambo ambayo yanamaslahi mapana kwa jamii tusimuunge mkono kwani anaipigania familia yake pale Bungeni?!
Mbona hata baadhi ya Wabunge wa CCM hawaafikiani na Maamuzi ya waziri huyo Kilaza?!