Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 612
Shibuda atawa-cost sana Chadema, they have to do something!
Sidhani kama atawa-cost sana kama viongozi wa CDM wakitumia strategy ya kutojibishana nae kwenye vyombo vya habari na pia kumnyima nafasi ya kupata habari nyeti za chama..