Watumishi wengi wamekosa mikopo, hawakutoa taarifa kwa Watumishi kuomba kupitia barua na viambata vingine

Mama Naa

JF-Expert Member
Aug 31, 2020
385
950
Habari wana jamvi,

Hazina mna utaratibu wenu wa kutoa mikopo kwa Watumishi wa halmashauri zilizopo pembezoni kitu ambacho ni kizuri.

Utaratibu wa kuomba mwanzoni ulikuwa ni kupitia halmashauri lakini mwaka huu mmekuja na mifumo. Watumishi wengi waliomba mikopo kupitia mfumo kumbe bado haitoshi ni lazima tena uombe kupitia makaratasi huko halmashauri.

Sasa kwa nini mmekuja na mfumo ambao hamuuamini mpaka mnarudi tena kuomba kupitia barua na viambata vingine?

Watumishi wengi wamekosa hiyo mikopo yenu kwa sababu baadhi ya halmashauri kama Maswa hawakutoa taarifa kwa Watumishi kuhusu kuomba kupitia barua na viambata vingine hivyo kuwakosesha kwa makusudi mikopo.

Hazina na serikali kwa ujumla, halmashauri nyingi zimeoza kiutendaji hivyo linapokuja suala la mifumo ni bora iwe inajitosheleza, sio mara mifumo mara makaratasi halafu hamtoi taarifa.

Ahsante.

Halmashauri ya Maswa Simiyu.
 
Habari wana jamvi,

Hazina mna utaratibu wenu wa kutoa mikopo kwa Watumishi wa halmashauri zilizopo pembezoni kitu ambacho ni kizuri.

Utaratibu wa kuomba mwanzoni ulikuwa ni kupitia halmashauri lakini mwaka huu mmekuja na mifumo. Watumishi wengi waliomba mikopo kupitia mfumo kumbe bado haitoshi ni lazima tena uombe kupitia makaratasi huko halmashauri.

Sasa kwa nini mmekuja na mfumo ambao hamuuamini mpaka mnarudi tena kuomba kupitia barua na viambata vingine?

Watumishi wengi wamekosa hiyo mikopo yenu kwa sababu baadhi ya halmashauri kama Maswa hawakutoa taarifa kwa Watumishi kuhusu kuomba kupitia barua na viambata vingine hivyo kuwakosesha kwa makusudi mikopo.

Hazina na serikali kwa ujumla, halmashauri nyingi zimeoza kiutendaji hivyo linapokuja suala la mifumo ni bora iwe inajitosheleza, sio mara mifumo mara makaratasi halafu hamtoi taarifa.

Ahsante.

Halmashauri ya Maswa Simiyu.
Kwanza hawajajiandaa vizuri kuhusu hilo!

Maafisa utumishi wanasumbua ku a update emails za watumishi kwenye mfumo!!

Kwanini tusumbuane!!

Warekebishe haraka tupate mikopo faster kama tunavopata salary advance!!
 
Kwanza hawajajiandaa vizuri kuhusu hilo!

Maafisa utumishi wanasumbua ku a update emails za watumishi kwenye mfumo!!

Kwanini tusumbuane!!

Warekebishe haraka tupate mikopo faster kama tunavopata salary advance!!
Kuna watu huko halmashauri hata computer hawajui kutumia kila ukiwatumia documents ni shida balaa na usumbufu uliokithiri.

Wamekuja na mifumo halafu hawaiamini pia Watumishi wengi vilaza.
 
Habari wana jamvi,

Hazina mna utaratibu wenu wa kutoa mikopo kwa Watumishi wa halmashauri zilizopo pembezoni kitu ambacho ni kizuri.

Utaratibu wa kuomba mwanzoni ulikuwa ni kupitia halmashauri lakini mwaka huu mmekuja na mifumo. Watumishi wengi waliomba mikopo kupitia mfumo kumbe bado haitoshi ni lazima tena uombe kupitia makaratasi huko halmashauri.

Sasa kwa nini mmekuja na mfumo ambao hamuuamini mpaka mnarudi tena kuomba kupitia barua na viambata vingine?

Watumishi wengi wamekosa hiyo mikopo yenu kwa sababu baadhi ya halmashauri kama Maswa hawakutoa taarifa kwa Watumishi kuhusu kuomba kupitia barua na viambata vingine hivyo kuwakosesha kwa makusudi mikopo.

Hazina na serikali kwa ujumla, halmashauri nyingi zimeoza kiutendaji hivyo linapokuja suala la mifumo ni bora iwe inajitosheleza, sio mara mifumo mara makaratasi halafu hamtoi taarifa.

Ahsante.

Halmashauri ya Maswa Simiyu.
Hebu mpumzisheni Rais, mtumishi wa Umma Bado unakuwa mjinga kiasi hiki.

Rais ndio Yuko Wizara ya Fedha au ndio ameweka huo utaratibu? Kwa nini usiwaandikie Wizara Kwa emails au kwenye social media zao?

Rais ana mda wa kukaa jf humu?
 
Hebu mpumzisheni Rais, mtumishi wa Umma Bado unakuwa mjinga kiasi hiki.

Rais ndio Yuko Wizara ya Fedha au ndio ameweka huo utaratibu? Kwa nini usiwaandikie Wizara Kwa emails au kwenye social media zao?

Rais ana mda wa kukaa jf humu?
Labda kwa sababu huwa wanasikia wakati wote Rais ametoa pesa au maagizo fulani
 
Back
Top Bottom