Bungeni: Shibuda aongelea hatma yake ndani ya CHADEMA!

Shibuda hata angesimama kwa chama cha wavua samaki bado angeshinda bwana mdogo. Kama CDM ndio kila kitu mbona kwa kama 300yaliyobaki walishindwa? Acheni kuikuza hii Chadema effect. Na mkiendelea kuambi hivyo na kuwasakama watu mliowabembeleza kugombea 2015 mtakuwa historia
Mkuu hivi mgombea binafsi alisharuhusiwa?, manake bila CDM asingekuwa mjengoni: sema wote wanategemeana..
 
<br />
<br />
Gerrad ni uharaka wa kuandika tu Mkuu,sorry. Pia amesema yeye hayuko tayari kuendeshwa na viongozi Dictators ambao wanazuia maoni yake so kwake hilo halipo ana uhuru wa kuongea kweli kama dini yake inavyomuamuru. Pia alizungumzia kiongozi ambae ni chaguo la mungu(nahisi JK) na kiongozi tamaa(means from CDM ,sasa sijui nani?). Inshort sijaamini nilichokisikia na kukiona sababu kwanza ilikuwa mchango wa wizara ya Maliasili ghafla akaomba aongelee suala lake na CDM huku akibeza na kusema hilo nalo lahusu mada ya utalii huku wabunge wa CDM wakifurahia kupita kiasi. Nilimuona SUGU na msigwa wakimuangalia kwa ghadhabu kali. Hali tete kwakweli km mvutano utaendela hivi.
Mkuu nimekupata na sasa habari imekamilika. Katika orodha ya walionuna nilimwona pia Mh. Lucy Owenya, hata mimi sijaamini nilichokiona na kusikia. Kama Chadema hawawezi kumfukuza Shibuda basi wawakaribishe Mrema, Cheyo na Hamad Rashid kwenye kambi ya upinzani maana hawa ni afadhali kuliko Shibuda
 
Kama anakubalika kiasi hicho, ni kwanini hawakumchagua kwenye kura za maoni za CCM? Kwani kilichompeleka CHADEMA ni nini? Read my words, huyu akitoswa na CHADEMA tu, hatakaa ausikie ubunge tena maisha yake yote maana hata hao CCM hawatampokea tena.[/QUOTKwa nini hawajamtosa hadi sasa kama kutosa ndio suluhisho ya kila tatizo
 
Shibuda huku maswa alipita kwa nguvu ya chama,nawala c yeye kama yeye,CDM yakubalika huku..
 
Watu wa Maswa hawakuiamini CDM bwana usije kutudanganya. Siku zote tabia ya CDM ni kufukuzia watu wenye umaarufu na kuwashawishi wagombee kwa tiketi ya Chama chao. Kwa CDM watu ni maarufu kuliko chama na ndio maana utasikia mara wanamfuata Sita mara Nape. Mniambie watu zaidi ya watatu ambao waliuzwa na CDM ambao hawakuwa na umaarufu wao binafsi

Kufuata watu wenye umaarufu siyo njia itumiwayo na CDM pekee ni njia inayotumiwa na vyama vingi vya siasa,ila kwa kipindi kile kama CDM wasingemuokota angetokea wapi kuja kupiga hizo kelele leo? Na kwa sasa angalia upepo vizuri je umaarufu wa CDM (nikimaanisha chama) huko maswa ni uleule ulikokuwepo kabla ya 2010?
 
Mkuu nimekupata na sasa habari imekamilika. Katika orodha ya walionuna nilimwona pia Mh. Lucy Owenya, hata mimi sijaamini nilichokiona na kusikia. Kama Chadema hawawezi kumfukuza Shibuda basi wawakaribishe Mrema, Cheyo na Hamad Rashid kwenye kambi ya upinzani maana hawa ni afadhali kuliko Shibuda
Lazima waumie kwa sababu yeye halambi mtu miguu. Hizi sio enzi za zidumu fikra za mwenyekiti
 
Mleta hoja siyo mkweli ni mzushi mkubwa.Nimemsikia kwa makini wakati shibuda anachangia bajeti ya maliasili zinazoibwa na mistu.Hakusema hilo.
<br />
<br />
Acha ushabiki wa Simba&Yanga wewe, mi mwenyewe sikufurahishwa na kauli zake regardless ni CDM or CCM sababu haionyeshi picha nzuri kutoa aibu ya ndani ya chama chako sehem kama bungeni ambapo watnz wengi wanakodolea macho. Je kutokana na ushabiki wako wa kitoto Shibuda hakuongelea picha halisi ya yeye na viongozi maDictators ambapo anasema haogopi kuzungumza ukweli kama dini yake inavyoamrisha?? Je hakuongela suala baadhi ya viongozi wako kwa maslahi binafsi akilenga ndani ya CDM? Je hakuongelea kuwa maswa sio shamba pori akiwa na maana lina mwenyewe? Je kusema kauli kama hizi mbele ya umma especially kama anabishana na viongozi wake hii sio aibu na kuizalilisha chama machoni mwa watu? Acha UMASABURI wewe njoo na hoja.
 
Shibuda ni matatizo hajawahi hata siku moja kutokuacha ukigeugeu wake nadhani naye anatumia mno masaburi kufikiria
 
Jambo la muhimu kujiuliza hapa ni kama mambo aliyosema Shibuda ni ya kweli kwa maana ya "maslahi binafsi" na "vyombo vya habari kukuza suala la kutoelewana kwake ndani ya chama chake". Baada ya kubaini hilo, wahusika wajirekebishe na sio kukurupuka kumfukuza au kutolea vitisho, maana yeye amesema wazi wazi bila kuficha, kwa maana hiyo hana majungu.
 
Sidhani kama atawa-cost sana kama viongozi wa CDM wakitumia strategy ya kutojibishana nae kwenye vyombo vya habari na pia kumnyima nafasi ya kupata habari nyeti za chama..

I quite agree, that's why I said they must do something
 
Shibuda hata angesimama kwa chama cha wavua samaki bado angeshinda bwana mdogo. Kama CDM ndio kila kitu mbona kwa kama 300yaliyobaki walishindwa? Acheni kuikuza hii Chadema effect. Na mkiendelea kuambi hivyo na kuwasakama watu mliowabembeleza kugombea 2015 mtakuwa historia

Sasa kwanini hakusimama na chama cha wavua samaki akakakimbilia CDM? Sina mpango wa kuikuza CDM manake kama ilivyo CCM sifuraishwi navyo katika mambo fulani lakini ni ukweli usina kificho CDM inakuwa kwa kasi ambayo hawa watawala hawakuitaraji na fun enough wali/anaisababisha wao

Bolded:Heshima ni kitu kidogo hunijui sikujui na sitaki kukujua...tupingane kwa hoja..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom