Msisahau mwigulu ni product ya jf, ikiwezekana tukapime akili member wetu!
Kwa kweli Nchemba amenikasirisha sana..kwanza najiuliza kile kiburi amekitoa wapi..anaongea kwa kiburi as if yeye sijui ni nani kwenye Tanganyika yetu..alikosa busara zaidi pale aliporusha budget kivuli na kusema ni takataka..what a shame kwa mbunge kufanya vile tena anayetoka chama tawala..imeniudhi sana.
Lissu nae katoa matusi na kaambiwa afute, katumia neno 'silly'
naona mipasho inatikisa bunge.
Nchemba anasema Mbowe alirudisha gari la zamani kachukua jipya na kali zaidi
atupa bajeti mbadala ya upinzani akifoka kuwa ni rubbish!@hebu watanzania wenzangu mnijuze kinachoendelea bungen maana,sielew kulikon huko,kwan mm nipo congo huku
Wewe maliza shughuli zako ukirudi utapewa taarifa. Tunasubiri ngumi kwani nnimeshanusa harufu mbaya isitoshe Komba ameweka wazi kuna kuumizana sijajua atakimbiaje?
Watakuja kupigana siku moja we subiri tuu.
Komba is another Zero brain.. anasema kama ni ngumi watawaangamiza wapinzani coz ni wachache.. hawa watu sijui kulikuwa hamna wagombea wengine kwenye majimbo yao..
Na huyu mwenyekiti anawalinda sana hawa vilaza wa sisimwewe!!!!