Bungeni: Muswada wa Katiba Unajadiliwa!

pindi Hazara Chana anasema;
ibala ya 62. bunge linatimilika linapokuwa na rais. mswaada huu umetambua powers za rais.
ghana waliunda tume bila wanasiasa. lakini sisi tumeweka wanasiasa. so tunawaomba wanasiasa mtakao chaguliwa muweke masirahi ya nchi mbele sio vyama vyenu bali watanzania. naomba sana hilo. nachangia pia kipengele cha 12.4. rais naomba aunde tume ya kusikiliza kesi ya mtu aliyefukuzwa kwenye tume sambamba na tume ya katiba.wakati wa vyama vingi 80 chama kimoja 20 vyama vingi.. p.t.o
Pindi.... Another crap
 
Nimependa paragraph ya kwanza inavyokumbushia jinsi utawala wa Mchonga ulivyoingiza tabia za kihuni, kishenzi, na kimabavu za kutunga taratibu zilizo nje ya sheria na katiba. Sungusungu walinyanyasa sana watu.

kaa chini wewe,sikiliza wakubwa zako wanavyofanya mambo.huyo unayemdharau ndio mabwana zako wanampigia magoti
 
kwa kweli kuhusu Mkuu wa wilaya kumuondoa inaonekana serikali na Chadema hawakujipanga, kiukweli umuhimu wake upo na ni mkubwa
 
esther amos bulaya anasema;
nampongeza tundu lissu kwa hotuba yake nzuri.
hii imeonyesha rais ndo kimbilio la kila mtu. na hii aliisema hapa na leo limedhihilika. mimi nilikuwa nawammbia solution sio kutoka nje bali kuyaongelea hapa kama tunavyo fanywa hapa. Kwanza naunga mkono hoja.
serikali itoe ufafanuzi wa kutosha kuhusu hii ya elimu kwa umma itafanyikaje. je kwa radio, tv au mihadhara? kuna wengine wataenda kufanya mikutano ya hadhara wakisema ni elimu kwa uma, natoa angalizo. by bulaya.
Kwahiyo Wabunge wa CCM wameacha kujadili Marekebisho wanajadili CHADEMA na LIsu kama the last time?

Last time walianza kujadili CHADEMA na Lisu, wakapigiana makofi, wakapitisha sheria ya hovyo........
Sasa naona wanafanya vile vile............Au ni ukilaza wao tu!!! hawana la kuchangia!!??!!!
 
huyu Machali baada ya kumsikiliza nimegundua kumbe chadema hawana wabunge walioiva, mbunge anazungumza kama yuko kwenye kikao cha wanachadema wakizungumza kishabiki, badala ya hoja, kashikilia uasi kutokubaliana na mapendekezo ya serikali.bunge si muhuri wa serikali wao wamepelekewa mswaada waujadili na waangalie kama kuna la kuzidisha wazidishe la kuondoa waondoe hio ndio kazi ya bunge. sasa kushinikiza wakubali kama ilivyo. ina maana gani kujadili? huyu jamaa bure kabisa. alau kidogo Mzee Arif ameongea kilogic unaweza kuhisi nn anakusudia kuzungumza
 
kwa kweli kuhusu Mkuu wa wilaya kumuondoa inaonekana serikali na Chadema hawakujipanga, kiukweli umuhimu wake upo na ni mkubwa

Nanukuu

" Wakuu wa wilaya tuliwatoa kwenye mchakato kwa sababu wanaonekana kwenye katiba ya ccm toleo la 2010 kifungu cha 80.1c na 78.1c. hatutaki watu waje waseme hii katiba ni ya watu wa aina fulani. by Arfi "

Mwisho wa kunukuu
 
Waliunda kamati isingekuwa busara kujadili wakati kila mmojanwao anajua lake, kamati imeleta hoja na mapendekezo tayari PM kashayatangaza
 
Usisingizie ameponda, amesema amesikitishwa!. Mhe. Chenge anasingiziwa sana kama ni tule tujisenti, japo wengi wanadhani ni hela nyingi, ila kuikweli tule ni tujisenti tuu, mgeona kiasi cha wenye fedha kule Credit Sussie, ndipo mngejua tule twa Chenge ni tujisenti tuu!.
Tangu lini mkuu wewe ukajitenga na harufu ya shilingi??
 
huyu Machali baada ya kumsikiliza nimegundua kumbe chadema hawana wabunge walioiva, mbunge anazungumza kama yuko kwenye kikao cha wanachadema wakizungumza kishabiki, badala ya hoja, kashikilia uasi kutokubaliana na mapendekezo ya serikali.bunge si muhuri wa serikali wao wamepelekewa mswaada waujadili na waangalie kama kuna la kuzidisha wazidishe la kuondoa waondoe hio ndio kazi ya bunge. sasa kushinikiza wakubali kama ilivyo. ina maana gani kujadili? huyu jamaa bure kabisa. alau kidogo Mzee Arif ameongea kilogic unaweza kuhisi nn anakusudia kuzungumza
Mimi huwa sielewi CHADEMA wamewafanya nini nyie vichenchede!!!!!
KAMA HUJUI KUSOMA, HATA PICHA HUONI?
:yawn::yawn::yawn:
 
Hatimaye mapendekezo ya kambi ya upinzani kuhusu katiba mpya yapokelewa kwa makofi na kuondoa aibu wamesema ni maoni ya serikali duh kweli hatuna serikali kabisa.
 
Nanukuu

" Wakuu wa wilaya tuliwatoa kwenye mchakato kwa sababu wanaonekana kwenye katiba ya ccm toleo la 2010 kifungu cha 80.1c na 78.1c. hatutaki watu waje waseme hii katiba ni ya watu wa aina fulani. by Arfi "

Mwisho wa kunukuu

na mheshimiwa chenge akaweka sawa kama tatizo kutajwa kwenye katiba ya CCM basi hata Rais ambaye ndio msimamizi mkuu wa mchakato katajwa kwenye Katiba ya CCM, sasa jee na yeye aondelewe? la msingi hapa ni kuangalia role ya mkuu wa wilaya na mkurugenzi. wameeleza vizuri majukumu na mipaka ya watu wa wili hawa, na ukiangalia kimantiki ni kuwa mwenye kufaa kuwepo ni mkuu wa wilaya kwa maana yy ndio mwenye mamlaka na uwezo wa kuendesha shughuli zile kwa wepesi kutokana mamlaka na nguvu alizonazo kisheria.


ama kuhusu suali la uchakachuaji halitowezekana. maana kazi ile itafanywa na tume na mkuu wa wilaya kazi zake zinajulikana. na mwisho wa siku wananchi watapiga kura ya maoni na kujua jee mawazo na maoni yao yamechakachuliwa au la.

kimsingi sioni suali la kubishana juu ya hili. mkuu wa wilaya mwache arudi kama ilivyo mwanzo tusonge mbele kwenye hoja nyengine
 
huyu Machali baada ya kumsikiliza nimegundua kumbe chadema mwongozo mtu wa pwani Machali sio mbunge wa Chadema tafadhaliii pokea taarifaa
 
Hatimaye mapendekezo ya kambi ya upinzani kuhusu katiba mpya yapokelewa kwa makofi na kuondoa aibu wamesema ni maoni ya serikali duh kweli hatuna serikali kabisa.


sasa kama ni kuyaita mapendekezo ya serikali alieanza ni Tindu Lissu akafatia arif na hata Machali sasa wao aibu hawana? jee wao walishindwa nn kusema kuwa haya ni maoni ya chadema?

bali wao wamesisitiza kuwa ni maoni ya vyama vya siasa(ikiwemo Chadema), asasi za kiraia na wadau wengine pia na serikali wakakaa na kuyatafakari kisha ndio wakaja na marekebisho.

huu ushabiki wako hautofautiani na wa Machali, baada ya kuchangia Hoja analeta Vioja
 
huyu Machali baada ya kumsikiliza nimegundua kumbe chadema mwongozo mtu wa pwani Machali sio mbunge wa Chadema tafadhaliii pokea taarifaa

asante kwa taarifa, kutokana alivyokuwa akichangia nikajua ni wa Chadema, kumbe wa NCCR, kwa kweli bwa mdogo bado sana hajaiva.

sio mbaya ndio anajifunza
 
Back
Top Bottom