Tekelinalokujia
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 353
- 40
raisi jakaya kikwete aepewa mamlaka kama mungu wetu watz hatukubali
ww bibi celina kombani na mama sokwe(makinda) wote tutawachapa viboko
pumbavu mswaada gani huu lwani jk ni mungu wetu
Raisi huyu huyu? anaewabembeleza mafisadi warudishe hela? anaeona hatuwezi bali kwa misaada ya wahisani? anaehusudu kucheka? sasaaaa, dah! sijui nianzaje, hawa sisiem hawakuona haja ya kubadili katiba na mwanasheria mkuu na huyu mama Kombani mwanzoni walitangaza hadharani hakuna matatizo kwenye katiba na sasa wanampa pande la kuchagua wasimamizi na kupelekewa majibu ya mchakato aamue mazuri na mabaya, duh! ni mwaka mmoja tuu tangu uchaguzi mkuu umepita na matatizo, malumbano maandamano nguvu kubwa ya dola(polisi) kupambana na raia huku serekali yake ikilaumiwa kila kona ndio wanampa mpini kwenye hili? Hakika hatupaswi kuangalia haya na kukubali maana kwa uwingi wa sisiem wananafasi kubwa wa kulipeleka hili kinyume na maoni ya raia wengi maana hili si la kivyama tunahitaji tulijadili kwa mapana zaifi kitaifa na tue na uwazi zaidi wa maamuzi kitaifa. watanzania tujitahidi kusimamia hili kwa uzalendo wa kitaifa tusiwaachie hawa viongozi maana wameshatuingiza mikenge kibao kwa kuwaamini huko nyuma.