Mkuu asante kwa observation yako juu ya bi KirobotoDuh nimecheka hadi basi, naona Bi kiroboto nae anazungumzia suala la muongozo!!! Naona wigi la leo halijamkaa vizuri
Mkuu asante kwa observation yako juu ya bi KirobotoDuh nimecheka hadi basi, naona Bi kiroboto nae anazungumzia suala la muongozo!!! Naona wigi la leo halijamkaa vizuri
I'm speechless ! Bunge na serikali ya vilaza unategemea nini? So dissapoited
Hili la Bi Kiroboto kumwita Mh Dr Mrema na Mh nae kujikwaa na Mheshimiwa Mwenyezi Mungu, nimecheka sana mpaka nimesahau hasira nilizozipata kutokana na michango iliyofwata baada ya Mh Lissu, kweli CDM wanawakimbiza wangekua wanapimwa mapigo ya moyo Lissu akiwa anaongea hakika tungepata majibu yaa ajabu.
There are currently 423 users browsing this thread. (117 members and 306 guests)
- Nyandaigobeko
- Mpatanishi
- USTAADHI
- Ng'wanhale
- engmtolera
- escober
- tama
- prince Jonathan
- Mnyakatari
- Tekelinalokujia
- Ng'wanangwa
- MpendaTz
- palalisote
- ndyoko
- roby2006
- giliard
- Parachichi
- Mimibaba
- Chezo
- TAUNO
- TANMO
- Ntemi Kazwile
- LAT
- bibikuku
- Vakwavwe
- Bihigi
- 3squere
- Mosachaoghoko
- Mkoloni
- MZALAMO
- mambojambo
- Mchaka Mchakani
- Laurence
- luvcyna
- Katavi
- msaka mahela
- mwafrika_halisi
- wahanya
- OPTIMISTIC
- Ndebile
- Ame
- Sangari
- andare
- Janja PORI
- Kayoka
- guru
- Msemaovyo
- Lasikoki
- J.K.Rayhope
- kisu
- sanjo
- ambeleshehe
- Panizo
- Paxman
- Jumakidogo
- Mzee wa Jikoni
- Kiby
- Kakati
- Josephine
- Edson
- Awo
- cheze
- Kitongoli
- Chitemo
- Maishamapya
- Lyceum
- Mlachake
- VGL
- Galang
- LiverpoolFC
- Polisi
- gwino
- MsandoAlberto
- p69mw
- Ericus Kimasha
- segwanga
- PrN-kazi
- FNamnyak
- Mwalimu
- Rev Fr Masanilo
- King Kong III
- kingungwe
- Prisoner 46664
- Somi
- Ezekia1
- Ulukolokwitanga
- Hofstede
- TzPride
- Vitalino mlelwa
- Magezi
- BISKUT YA CHUMA
- Filipo
- Xuma
- Mathematic
- WA-UKENYENGE
- kingukitano
- Lu-ma-ga
- jcb
- mkirua vunjo
- GEWAME
- Prosper Marcus
- yuya
- MwanaCBE
- mkonowapaka
- Mr. Zero
- actus
- Lyangalo
- evoddy
- baraka1
- nzom
- Babuu blessed
- Kishongo
- Zion Train
- Jeremiah
Ngoma inogile.
Sasa hivi idadi hii yote ya raia tukiamua kuwashirikisha rafiki, ndugu na jamaa zetu kwa kuwapa somo juu ya ulazima wa kuishurutisha serikali ifanye yale tunayotaka (sisi kama mabosi zao) hatutafanikiwa?
wabunge wa kafu wanafanya nnini sasa ..wapo kwa ajili ya matumbo yao niniAmepiga nyundo kuwa kuwaendekeza wazanzibari ni kufanya muungano upingwe na watanganyika. Nikamwona bi kiroboto akifungua kitabu cha kanuni.
Amemaliza. Anamwita Ana Kilango achangie.
PAW kasema utoe hiyo avator yako ..na umepewa masaa 24Duh! mimi sijui hata kinachoendelea,
Nipo nami mkuu;Deus kibamba tunasubiria tamko lako(lenu jukwaa la katiba)