nadhani ana ushahidi
Zitto
Mkuu nimekupata, hata mimi nahisi ana ushahidi. Asingekurupuka namna ilenadhani ana ushahidi
Zitto
Ndo maana wameamua kuyeyusha,lazima ana ushahidinadhani ana ushahidiZitto
Nakubaliana nawe maana kusema bila kumung'unya maneno si mchezo.nadhani ana ushahidi
Zitto
Hiyo ndo imetoka...wakiomba ushahidi akauleta na ukathibitika, bac zambi atatakiwa akaisaidie takukuruHa ha ha, kuna mtu ameomba Mwongozo na Mwenyekiti (Simbachawene) amesema atapanga muda muda mwingine. Sasa ni zamu ya Joseph Selasini Shayo (Chadema)
Kama Sijakosea kuna Kipengele kwenye Katiba kinachompa immunity mbunge ya kutokushitakiwa kwa lolote atakalosema Bungeni hata akimtukana mtu shwari tu...Ana hamu ya kuwa na kesi huyu....Lema type.
Ni lazima atakuwa nao siyo rahisi kutoa shutma kama afanyavyo mchungaji Mtikila! Ngoja tusubiri vyombo vya habari vitavyochagiza suala hili.Kama hana ushahidi watamkalia kohoni
karbu xana mwanagridi katika jamvi letu la Jf. Eng Mayeye yupo humu ila kanunuliwa na cCM,VP Wanasemaje huko R Chuga?
Nakubaliana na wewe Mchungaji wangu, huyu ni dogo ni jembeLilikuwa kosa kubwa sana huyu dogo kuondoka CDM! Lakini wacha vita vipiganwe kila pande.....
Hivi mbunge kama huyo aneyeomba rushwa atakubali kweli posho ikatwe? Kweli kazi bado ipo.Kafulila arudie tena kuwataja atakapokuwa anachangia bajeti. Ninavyoona Mwenyekiti amepanga kuyeyusha kimya kimya. Zambi ana kazi maana kwenye CCJ nako yumo
mh nami naisi ushaidi atakuwa nao.nadhani ana ushahidiZitto
Alieomba mwongozo wa spika ni mh hynes kiwia wa ilemela cdmJoseph Selasini aomba watajwe wabunge wanaodai RushwaMwenyekiti asema maelekezo ya muongozo yatatolewa baadaye...patamu hapo...Stay watching...Bunge la Zama za uwazi