GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Hamad Rashid anahoji mkanganyiko wa kusamehe Kodi kwa makampuni ambayo yanataraji kuja kuwekeza katika uchimbaji wa hazina ya mafuta.
Anahoji: "Inakuwaje kama wao walishapanga gharama zao zote za uendeshaji wa shughuli zao na wakajiridhisha kuwa inawezekana inakuwaje leo waje wafike hapa waombe msamaha wa kodi wakati tunafikiria kuondosha misamha hii ili kuongeza ukusanyaji wa mapato, tusifanye kosa hapa'' amaliza Hamad Rashid Mbunge wa Wawi - CUF
Anahoji: "Inakuwaje kama wao walishapanga gharama zao zote za uendeshaji wa shughuli zao na wakajiridhisha kuwa inawezekana inakuwaje leo waje wafike hapa waombe msamaha wa kodi wakati tunafikiria kuondosha misamha hii ili kuongeza ukusanyaji wa mapato, tusifanye kosa hapa'' amaliza Hamad Rashid Mbunge wa Wawi - CUF