The Emils
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 568
- 124
hii imekaa vizuri sana maamuzi yote sasa hivi yawe yanafanyikia bungeni tu..hoja nyingine za dharura ziendelee kuletwa maana jk anawaza atasafirini lini nje ya nchi...Bunge limekuwa serikali watanzania wenzangu juweni hatuna serikali.