Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,402
3,242
Mbunge wa Bumbuli Januari makamba ameomba mjadala wa dharura kujadili ukosekanaji wa mafuta unaotokana na wenye vituo kugoma na kupelekea nchi kuwa kwenye wakati mgumu

UPDATES
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa January mtoa hoja kuanza
Mkamba anasema mtaani kumekuwa balaa mafuta sasa hakuna na pale yalipo yanauzwa hadi sh 4,000/ umeme hakuna watuwanajitutumua kutumia jenereta na bado mafuta sasa hakuna.

Siku ya 7 sasa hakuna tamko lolote lilitolewa kana kwamba nchi haina viongozi hivyo anaomba tamko la serikali na utekelezaji.

Pia amegusia serikali kushindwa kusimamimia sheria wanazotunga wabunge
.

 
Hoja yake ya dharura kuhusu hali ya mafuta nchini imemlazimu naibu spika kuitisha kikao cha dharura cha kamati ya uongozi ya bunge live..!
 
Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.
 
tunasubiri watoke kwenye hicho kikao cha dharura kama alivyosema naibu spika maana hili ni janga la taifa
 
Yap imebidi naibu spika Ndugai aliambie bunge hiyo issue ni nzito ya kusitisha shughuli za bunge na kuanzisha mjadala wa hali ya ukosefu wa mafuta nchini. imebidi amuachie mwenyekiti wa bunge ili yeye na wenyeviti wa kamati za bunge waede kujadili ktkt kikao kwanza kisha wafikie maamuzi.
Tusubiri
 
Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.
Mkuu hoja yako sawa lakini kumbuka wao ndio wana operate hiyo kitu kwa sasa ukisema uwanyanganye kuanzia leo ujue kutakuwa hakuna mafuta hadi utakapo pata hao wapya, je kwa muda huo wa mchakato nana atagawa mafuta, au wondolewe na vituo wapewe wengine?
 
Mkuu hoja yako sawa lakini kumbuka wao ndio wana operate hiyo kitu kwa sasa ukisema uwanyanganye kuanzia leo ujue kutakuwa hakuna mafuta hadi utakapo pata hao wapya, je kwa muda huo wa mchakato nana atagawa mafuta, au wondolewe na vituo wapewe wengine?

Whatever the case mkuu serekali lazima ioneshe ipo na sio ya kuchezewa hata kwa gharama fulani fulani.....
 
Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.


Maskini hujui hatakama serikali yenu ni lege lege
 
Kwani serikali haina mafuta? Nenda pale BP nyuma kama walekea kurasini kwa nyuma kuna madepo yao maxv and mashangingi yanajaza mafuta yanapeleka kwenye magari ya mabosi wao majumbani wanajaza kwenye private car!!! Shame on U
 
Mkuu hoja yako sawa lakini kumbuka wao ndio wana operate hiyo kitu kwa sasa ukisema uwanyanganye kuanzia leo ujue kutakuwa hakuna mafuta hadi utakapo pata hao wapya, je kwa muda huo wa mchakato nana atagawa mafuta, au wondolewe na vituo wapewe wengine?

Vile vituo vilivyokubali kuuza muda huu unavigeuza kuwa vya 'dharura' wakati unasuka upya mambo.

Pamoja na hayo, kauli ya Rais au Waziri mkuu iko wapi? kwa nini hawajaongea mpaka sasa. Bunge limeguuka kuwa Ikulu? This is a tragedy of its own, and where is the cabinet in all these? Bunge ni kitu cha mbali sana maana wabunge are 'legislatures' - watunga sheria. Serikali ni watendaji, sasa, wako wapi hawa watendaji?
 
Niseme kwa nguvu zote kabisa kwenye hii saga ya mafuta kuna OPTION moja tu.

Serikali IFUTE leseni zote (zote kabisa) za wazuza mafuta, na watoe application form upya na kuweka masharti yanayolinda maslahi ya nchi.

Kwa miaka mitano sasa wauza mafuta wamefanya Tanzania shamba la bibi na wametengeneza faida kubwa sana kiasi kwamba hata kama watufunga watagoma/wataacha kuuza mafuta kwa mwezi bado hawatatikisika financially. Hii ni hatari sana kuwa na kikundi cha watu wanatumia pesa wanakwamisha shughuli za jamii yote.

Nadhani serikali kama ingeweleza wananchi na kuwaomba uvumilivu wakati wanasuka upya utuoji wa leseni watu wengi wangewaelewa. Futa wote anza upya.

nani afanye hivyo wewe?? haaaa Mpaka saizi hujui nature ya uongozi wako THUBUUUTU! JK AKIFANYA HIVYO NAHAMA NCHI HII NAENDA KUISHI ZAMBIA RASMI!
 
Whatever the case mkuu serekali lazima ioneshe ipo na sio ya kuchezewa hata kwa gharama fulani fulani.....
Mkuu tupo pamoja ktk hilo, tatizo lingine hawa jamaa ni moja ya wafanikishaji wakubwa wa kampeni za JK
 
Bravo january, kauli zako Bungeni zimekuwa za kibunge sana tangia uingie Bungeni.


Mbunge wa Bumbuli Januari makamba ameomba mjadala wa dharura kujadili ukosekanaji wa mafuta unaotokana na wenye vituo kugoma na kupelekea nchi kuwa kwenye wakati mgumu
 
[/COLOR][/B]
nani afanye hivyo wewe?? haaaa Mpaka saizi hujui nature ya uongozi wako THUBUUUTU! JK AKIFANYA HIVYO NAHAMA NCHI HII NAENDA KUISHI ZAMBIA RASMI!

Nimemsoma kwenye magezeti akisema watu waombe ili mvua zinyeshe! ah!
 
Mkuu hoja yako sawa lakini kumbuka wao ndio wana operate hiyo kitu kwa sasa ukisema uwanyanganye kuanzia leo ujue kutakuwa hakuna mafuta hadi utakapo pata hao wapya, je kwa muda huo wa mchakato nana atagawa mafuta, au wondolewe na vituo wapewe wengine?

Ingekuwa ni wanafunzi wamegoma kuingia darasani basi wangevurumishiwa mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha.....lakini muuza mafuta ANAIPA SERIKALI 24hrs na "serikali" inachekacheka tuuuu...
 
Back
Top Bottom