Mbunge wa Bumbuli Januari makamba ameomba mjadala wa dharura kujadili ukosekanaji wa mafuta unaotokana na wenye vituo kugoma na kupelekea nchi kuwa kwenye wakati mgumu
UPDATES
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa January mtoa hoja kuanza
UPDATES
Hoja imekubaliwa na mjadala unaanza sasa kwa January mtoa hoja kuanza
Mkamba anasema mtaani kumekuwa balaa mafuta sasa hakuna na pale yalipo yanauzwa hadi sh 4,000/ umeme hakuna watuwanajitutumua kutumia jenereta na bado mafuta sasa hakuna.
Siku ya 7 sasa hakuna tamko lolote lilitolewa kana kwamba nchi haina viongozi hivyo anaomba tamko la serikali na utekelezaji.
Pia amegusia serikali kushindwa kusimamimia sheria wanazotunga wabunge.