Bungeni: Mdee aishukia serikali!

Bungeni: Mdee aishukia serikali!

Halafu rejea ile mada yako kwamba ndani ya CHADEMA hakuna mtu mwenye hoja zaidi ya ZITTO na SLAA....
Kuna wakati huwa unajiachia au?

Mkuu KYAMTUNDI. huyu HAMY-D hana kumbukumbu kabisa.twende naye polepole ataongeza idadi mwisho atasema wote wako vizuri.
 
Ni upuuzi kulaani eti upotoshaji wakati ushahidi mnao mmeukalia. Hata mimi nasema CDM mmehusika otherwise mlete huo ushahidi mnaodai mnao.
Mbona amsemi tuweke kipindi kwenye TV watanzania wote waone.mbona wa Lema kiti cha bunge kimeukalia ili kumlinda mwongo na Pumbavu PINDA.
 
ukitaka kuona ukomavu na busara, angalia urafiki kati ya Halima Mdee na Esther Bulaya. Hawa wako vyama pinzani lakini kila mmoja anaweka mbele maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi za vyama vyao. Bila shaka hii inawapa upeo katika kutoa michango katika kuisaidia serikari yetu.
Hivyo hata hapa jamii forum, tunahitaji kutoa michango yenye ukweli kwa maslahi ya nchi.
Mkuu njia panda ikiwa huna jambo lako la kuchangia ni bora ukabaki kimya badala ya kutoa mchango hasi ili mradi uonekane itikadi yako ni ipi.
Wafikirie watanzania wengine wanaokosa huduma ilhali maisha yao yanazidi kuwa magumu, lakini wewe huoni hilo mkuu.
Hata hivyo pongezi kwa uaminifu unaoonyesha kwa wale wanaokutuma.
Una adabu kama ya mbwa aliyezoezwa.
 
Mbona amsemi tuweke kipindi kwenye TV watanzania wote waone.mbona wa Lema kiti cha bunge kimeukalia ili kumlinda mwongo na Pumbavu PINDA.

Wekeni popote pale kikubwa wananchi tuone ili tumalize mzizi wa fitina.
 
Inaelekea wewe njia panda umezoea mazungumzo kama ya kina wema sepetu. ukiwa level hiyo huwezi kumuelewa mdee.
 
Huyo njia panda ni kweli njia panda maana amesimama tu kwenye junction hajui pa kwenda.
 
mbona slaa anataka kumpokonya jimbo la kawe na kumpa bibi yake josephine?

Huo ni uzushi ndugu,Mama Josephine alishakanusha huo upuuzi. CDM ni watanzania na viongozi wake huchaguliwa na watanzania wenyewe kwa taaratibu zilizowekwa,
 
Huo ni uzushi ndugu,Mama Josephine alishakanusha huo upuuzi. CDM ni watanzania na viongozi wake huchaguliwa na watanzania wenyewe kwa taaratibu zilizowekwa,

upo dunia gani? siyo uzushi! Josephine amekwenda kawe mara 3 hku akihutubia na kupeleka misaada kwa akina mama bila ya kumtaarifu mbunge husika. na amekua akipelekwa na gari la katibu mkuu wa chama. kama unadhani nadanganya, hebu kafanye utafiti
 
upo dunia gani? siyo uzushi! Josephine amekwenda kawe mara 3 hku akihutubia na kupeleka misaada kwa akina mama bila ya kumtaarifu mbunge husika. na amekua akipelekwa na gari la katibu mkuu wa chama. kama unadhani nadanganya, hebu kafanye utafiti
Sisi ndiyo wapiga kura wa Mheshimiwa Mdee na wanaCDM wengine wote. Mama Josephine na Mhe. Mdee wanaendelea kujenga Chama kupitia nafasi na majukumu yao mbalimbali ndani ya Chama,jimboni kawe au maeneo mengine ya nchi. Kajipange upya,
 
I wish ningeona hii kipande ya "makavu"
Jaman mwenye clip ya video atupe tafathali
 
TATIZO KUBWA LA CHADEMA NI KUHARIBU VIJANA WA KITANZANIA...
huyu msag.......aji alikuwa ni bonge la jembe wakati anaanza siasa na wengi tulitarajia atakujakuwa one of the most prominent female politician in this country.. ona sasa wameshamlisha kitu cha arusha. sauti inamkauka wala hasikiki na amebakia kuwa mwanaharakati badala ya kuendelea kufanya siasa. jimbo lenyewe liko mdomoni mwa MBATIA NA COME 2015 ATARUDI MTAANI. TAKE IT FROM ME BROTHERS
 
TATIZO KUBWA LA CHADEMA NI KUHARIBU VIJANA WA KITANZANIA...
huyu msag.......aji alikuwa ni bonge la jembe wakati anaanza siasa na wengi tulitarajia atakujakuwa one of the most prominent female politician in this country.. ona sasa wameshamlisha kitu cha arusha. sauti inamkauka wala hasikiki na amebakia kuwa mwanaharakati badala ya kuendelea kufanya siasa. jimbo lenyewe liko mdomoni mwa MBATIA NA COME 2015 ATARUDI MTAANI. TAKE IT FROM ME BROTHERS

Akili yako imeumbwa na vumbi la TUMBAKU you absolutely have nothing to share with serious thinkers!
 
Juzi ulimsifia Msigwa leo Mdee, inaonekana Chadema unakikubali.
ila mambo madogo madogo ndio yanakufanya ufanye tofauti na moyo wako unavyoamini.!!
Mkuu hela unaita mambo madogomadogo.....
 
TATIZO KUBWA LA CHADEMA NI KUHARIBU VIJANA WA KITANZANIA...
huyu msag.......aji alikuwa ni bonge la jembe wakati anaanza siasa na wengi tulitarajia atakujakuwa one of the most prominent female politician in this country.. ona sasa wameshamlisha kitu cha arusha. sauti inamkauka wala hasikiki na amebakia kuwa mwanaharakati badala ya kuendelea kufanya siasa. jimbo lenyewe liko mdomoni mwa MBATIA NA COME 2015 ATARUDI MTAANI. TAKE IT FROM ME BROTHERS

Ukiambiwa udhibitishe without reasonable doubt unao huo ushahidi??
plz kuwa makini kidogo na unayoyaandika kwani ipo siku inaweza jutia

Kila la kheri
 
Hilo ndo "jembe" la chadema, majembe mengine yapo na mengine yanasubiriwa 2015. Peoplesssssssssss powerrrrrrrrrrrrrr.
 
hizi kauli za chadema kuwa tusubiri 2015 eti ndio kitaeleweka ni dalili ya kuchanganyikiwa na kufilisika kwa hoja
 
Back
Top Bottom