multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 583
Wakimaliza shule na uchawi juu!
watu kama hawa ndio wanaohitajika katika ujenzi wa taifa changa kama Tanzania.
Huyu Mdee nimemsifu kwa kukanusha bila ya kurusha tuhuma zozote kwa chama ama mtu yeyote yule. Amekomaa kisiasa!
Huyu Mdee nimemsifu kwa kukanusha bila ya kurusha tuhuma zozote kwa chama ama mtu yeyote yule. Amekomaa kisiasa!
Dunia imeshajua kuwa CCM imeua raiya wema kwa bomu na risasi za moto SOWETO Arusha, Halima Mdee hakuona sababu ya kuwafustrate nyie wauawaji mapema sana kwa hili.
Hii damu iliyomwagwa na CCM hapa SOWETO Arusha inaizika CCM rasmi.
Akiwa ana changia bungeni, mhe Halima Mdee ambae ni mbunge wa jimbo la kawe, ameipa za uso serikali kwa kuiambia amelaani vikali upotoshaji uliofanywa bungeni kuhusu mlipuko uliofanywa Arusha kuwa ni CHADEMA ndio walio husika.
Aidha, mhe Halima Mdee amesema, CHADEMA watakuwa ni wendawazimu wa kujilipua wenyewe kwa lengo la kujitafutia umaarufu au kutaka huruma kwa wananchi, wakati tayari nchi imewakubali, na mziki wa CHADEMA watauona rasmi 2015.
nyie mnauwa watu kwa sumu kwa tindikali na kwa mabomu halafu mnasingizia watuLakini kwa nini asimtaje kabisa Mwigulu kama ndiye mpango mzima aliyetuma maharamia kurusha bomu??
Akiwa ana changia bungeni, mhe Halima Mdee ambae ni mbunge wa jimbo la kawe, ameipa za uso serikali kwa kuiambia amelaani vikali upotoshaji uliofanywa bungeni kuhusu mlipuko uliofanywa Arusha kuwa ni CHADEMA ndio walio husika.
Aidha, mhe Halima Mdee amesema, CHADEMA watakuwa ni wendawazimu wa kujilipua wenyewe kwa lengo la kujitafutia umaarufu au kutaka huruma kwa wananchi, wakati tayari nchi imewakubali, na mziki wa CHADEMA watauona rasmi 2015.
Mkuu, kama kuna ushahidi wowote ule unaoonyesha uhusika wa CCM kwenye lile tukio la mlipuko basi tunawaomba muupeleke kwenye mamlaka zinazo husika, tena kamishna ametoa mpaka ruhusa ya kuupeleka ushahidi huo Ikulu, sasa mpewe nini ili mthibitishe hizo tuhuma zenu? CHADEMA ina maadui wengi, wenda ni hao maadui wao wengine ndio waliolipua bomu pale Soweto na sio serikali kama mnavyotaka kuaminisha watu humu!
nyie mnauwa watu kwa sumu kwa tindikali na kwa mabomu halafu mnasingizia watu
safi sana halima kwa kuwapa za uso kavu kavu mama inapendeza sana.....waoooo halima bado jimbo ni lako hapa kawe tena tunakutaka uje tegega hapa ukitoka bungeni utupe mawili matatu siku nyingi atujakuona
Juzi ulimsifia Msigwa leo Mdee, inaonekana Chadema unakikubali.
ila mambo madogo madogo ndio yanakufanya ufanye tofauti na moyo wako unavyoamini.!!
mdee hakuna ajualo. yeye ni kama zitto tu. siku zao ndani ya cdm zinahesabika
Huyu Mdee nimemsifu kwa kukanusha bila ya kurusha tuhuma zozote kwa chama ama mtu yeyote yule. Amekomaa kisiasa!
nyie mnauwa watu kwa sumu kwa tindikali na kwa mabomu halafu mnasingizia watu