Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Mh Mdee hakuwa na haja ya kuitaja CCM au serikali yake kwa jina, bali aliwakilisha kesi ambayo kwa wenye akili tunajua anaisema serikali ya CCM na viongozi wake. Mh Mdee ametumia lugha ya kisheria, kuishambulia serikali kwa Uzembe pasipo kuingiliwa na Lukuvi au Werema. Mh Mdee ameonyesha Usomi na matumizi mazuri ya elimu yake ukilinganisha na Mwigulu