Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Mbunge wa jimbo moja (sijalijua sawasawa) la mkoani Singida, Mohammed Misanga
amekurupuka kutaka kujadili mshahara wa waziri wakati kifungu hicho hakijafikiwa
na wenzake walikuwa wanachangia vifungu vingine, hali inayoonesha kuwa hakuwemo
bungeni (alikuwa kasinzia) hali iliyowashangaza wabunge wengine...
amekurupuka kutaka kujadili mshahara wa waziri wakati kifungu hicho hakijafikiwa
na wenzake walikuwa wanachangia vifungu vingine, hali inayoonesha kuwa hakuwemo
bungeni (alikuwa kasinzia) hali iliyowashangaza wabunge wengine...