Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
Unafikiria kama pinda....je nikikuambia TULIVYO MUELEWA SISI??? Kwa kuwa alishajua kwa MUDA ule tayari Ulimboka keshakufa....then mkija kujua watz lolote na liwePinda, kauli ya lolote na liwe alioitoa juu ya Mgomo wa Madaktari Alimaanisha kwa vile kesi
ipo Mahakamani na kwa kuheshimu muhimili wa dola. Yani Mahakama. Serikali haipaswi
kutoa kauli au kusemea shauri lililopo Mahakamani. Lakini kwa vile wanao athirika ni
wananchi na wanakufa. Hivyo lOLOTE NA LIWE serikali italisemea na kama itakua imeingilia
Mahakama, LOLOTE NA LIWE,
Ha ha ha haaaa...leo imekuwa 'misquote'? Jana mlikuwa mnatamba hapa sijui 'wanatimuliwa wote liwalo na liwe, oooh watafutiwa leseni liwalo na liwe'...leo imekuwa misquote!?
Kutokana na kutekwa kwa watalii na kuuwawa, kukuta wahamiaji zaidi ya arobaini wakiwa wamekufa vilevile kutekwa kwa dr.Olimboka, kumemfanya Rais wa nchi kurudi nchini kujadili hili swala na usalama wa taifa. Hayo yamesemwa na mh. waziri Mkuu M.K.Pinda Bungeni wakati akijibu maswali ya papo kwa papo leo Bungeni. Wakati huo huo mh. Tundu Lissu amemtaka waziri mkuu ajihuzulu kotokana na kushindwa kushughulikia matatizo ya madaktari. pinda kamjibu anamheshimu sana. Mia
Tena wamwangalie kweli kweli maana anaweza kuja na zile sumu zao walizo mpaka mwakyembe na Mwandosya.....Dr Ulimboka and the Family , Never ever shake handS with the President, never ever unless he come in the hospital holding hands with the hooligans who did the touchering ... !! If you do anything against this ... it will be a shame and betrayal to all Tanzanians with good will!!! ... Have a strong heart and just do as I have just told!! OK .. God will bless you HERE and BEYOND HERE( In HEAVEN !!!!)!!!
Jk kumtembelea dr ulimboka mchana huu......kama kawaida kutoa pole
Jana kuna uzi nilichangia kuwa kama Pinda ana akili kidogo aliyobaki nayo basi leo asitoe kauli yoyote juu ya mgomo wa Drs. naona kama anaelekea kupokea huu ushauri.
Kuhusu Dr. Ulimboka, tusubiri uchunguzi wa kina wa polisi.
Mbowe anasema KCMC, Muhimbili, Mbeya na Bugando leo wamegoma rasmi, serikali mna hatua gani za dharula>
Pinda: Serikali imezungumza na vyombo mbalimbali kama Lugalo ili wagonjwa watumie huduma zao.
Retired Drs, na wale walio wizarani wameombwa warudi kazini ili wawahudumie wagonjwa.
Juhudi za kuongea na Drs wenye mgomo zinatakiwa ziendelee
Jenresta Mhagama anabwabwaja utumbo saa hizi. Kila kitu cha magambaz anaunga mkono
bensonlifua92 nakubaliana na hoja yako kabisa.Nakubalina na mpango huu wa kuwasaidia wagonjwa kwa wakati huu wa dharura. Shida yangu kubwa ni ufanisi wa hao madaktari wanaoazimwa.
Nijuavyo mimi hao madaktari wanaoazimwa yaani waliostafu, walioko wizarani na pengine na akina mbunge Kigangwara na wengineo kama Dr. Husein Mwinyi kama hawa-practice kwa muda fulani labda zaidi ya miaka 3 na kuendelea mambo haya ya ujuzi yanaanza kupotea/kusahaulika kichwani. Yes unakuwa bado unazo ideas za skills na knowledge but to be effective unahitaji kujikumbusha tena (refreshed).
Sasa swali langu ni Je hao wanaoletwa wastaafu na wa kutoka wizarani (hasa hawa - maana waliachaga siku nyingi ku-practice; kazi wanayo fanya ni ya kisera zaidi - paper works kuliko profession yao - dawa, muscles, diagnosis, nerves, ligaments, tendons and their specific names, surgery, n.k) watapewa muda wa kuwa refresh? Najua ni wataalam kabisa but to my opinion wanahitaji kujikumbusha tena!!!