Mkuu una haki ya kukubali, kukataa au kuwa neutral ni haki yako. watu wengi walio neutral utasikia wabunge wanawapigia makofi.
shibuda mropokaji tu hana lolote analosaidia katika chadema!
waunge kwa pamoja, ccm ccm, ccm, ccm, ccm ccm ccm ccm , ni furaha hapa bungeni.....
ambao hawapo wote waoga(Sugu ndani)
watakuwa walikuwa wanachakachua tu....hahahaahWaliokuwa hawapo wamerudi
Umeme umekatika watu CCM CCM CCM
ccm ccm ccm oyeeeeee kwa kukatika umeme bungeni ccm ccm ccm kwa kukatika umeme nyumbani ccm ccm ccm