Bungeni Live: Hitimisho la Bajeti jioni ya 22/06/2012

Serikali imekubali kuongeza kodi ya mafuta ya kula toka nje, ili kulinda viwanda vya ndani

Conflict of interest: ABOOD mbunge wa CCM morogoro ndio anamiliki kiwanda cha mafuta ya kupikia.
 
Mgimwa: serikali iwezeshe mipango ya ajira kwa vijana, msimamo wa serikali ni kwamba, serikali itachukua hatua za kisera kupitia sekta binafsi pamoja na kuwekeza kwa elimu ya ujasiriamali. Serikali imeongeza mabenki toka 43 april 2011 hadi 43 april 49 2012.

Sijaona nyongeza!
 
Safi bajeti safi kwa watu wasafi na wakitoka leo bungeni wanamalizia hasira kwenye viroba ha ha haaaaa
 
yaani kuwa na wabunge wa namna hii ni aibu......

Na aibu kubwa zaidi iwaendee wananchi waliowachagua
 
wabunge wachadema wamekunwa hadi wanapiga vigelegele

Wamekunya na wapuuzi na serikali yao legelege na mwenyekiti wao dhaifu.....unachekesha nini kipya hapo zaidi ya unafiki wa wabunge wa ccm.....nepi kwanini una-id nyingi unaongopa nini?
 
Serikali imekubali kuongeza kodi ya mafuta ya kula toka nje, ili kulinda viwanda vya ndani

Conflict of interest: ABOOD mbunge wa CCM morogoro ndio anamiliki kiwanda cha mafuta ya kupikia.

asante moproko ishakufa mdau,,,,hata sabun za KOMOA,,,,ila hata kama wameongeza bei watz watanunua tu pale shopuryt
 
Leo mgimwa umewaujumu watanzania kwa maneno mazuri.. muda siyo mrefu utakuja na santuri nyingine, tujipe muda
 
Pinda: Ndiyooooooooooooooooooooooooooooo
Sitta: Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
Nahodha: Ndiyoooooooooooooooooooooooo
Magufuli:Ndiyooooooooooooooooooooooo
Mwinyi:Ndiyoooooooooooooooooooo
Wasira:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
Hawa:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
simba:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
membe:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
chikawe:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
mkuchika:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
kombani:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
lukuvi:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
nchimbi:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
matayo david:Ndiyoo
kabaka:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
samia hassan suluhu:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
profesa makame:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
ana tibaijuka:....................................
Kagasheki:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
Mwakyembe:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
mwakyembe:Ndiyoooooooooooooooo
william mgimwa:Ndiyooooooooooooooooooooooooo
sospeter:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
werema:Ndiyooooooooooooooo
ndugai:Ndiyooooooooooooooooooooooo
adam malima:Ndiyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
mwanri:Ndiyooooooooooooooooooooooooo
nyarandu:.......................
benedict ole nanguru:Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo
majaliwa:Ndiyoooooooooooooooooooooooo
peleira amei silima:Ndiyooooooooooooooooooooooo
 
Mfanyabiashara anayepata sh. mil 4 hakatwi kodi. Huu ni wastani wa sh. 333,333 kwa mwezi. Mfanyakazi anayepata kiasi hicho anakatwa PAYE sh. 27,766.62 kila mwezi pamoja na makato mengine. Vyama vya wafanyakazi vimeshindwa kulobby ili bajeti ipunguze mzigo wa kodi kwa wafanyakazi. Changamoto kwa siku zijazo...
 
leo wanafiki watajulikana tu.....
Wengine walikuwa wanapiga kelele kupinga ila hapa tutaona kama watakubali.....

Cheyo kapiga kura ya ndio....
Mrema oyeeeeee kapiga hapana kwa mara ya kwanza kwikwikwikwikwiiiii
 
Mgimwa: serikali iwezeshe mipango ya ajira kwa vijana, msimamo wa serikali ni kwamba, serikali itachukua hatua za kisera kupitia sekta binafsi pamoja na kuwekeza kwa elimu ya ujasiriamali. Serikali imeongeza mabenki toka 43 april 2011 hadi 49 april 49 2012.
hizi benk jaman zimejaa dar,,,,,kama shule za kata
 
Back
Top Bottom