The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 804
- 1,646
Kasheku Msukuma(MB) - Geita Vijijini leo bungeni akichangia kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu na Ufundi, amesema yawezekana walikosea kuja na sera ya "elimu bure" ama sometime hutumia kiswahili cha "elimu bila malipo" mwaka 2015..
Kuna kila dalili kuwa Msukuma ametangulizwa na CCM kulichokoza hili lakini ukweli ukiwa mpango umekwisha kuiva kurejesha ada mashuleni...
Ukiniuliza mimi, nitajibu kwa herufi kubwa kabisa, kuwa YES huu ulikuwa uamuzi wa kimakosa. Wazazi na walezi ni Sharti wachangie gharama za kusomesha watoto wao ktk ngazi zote za elimu..!
Mtazame na msikilize hapa.
Kuna kila dalili kuwa Msukuma ametangulizwa na CCM kulichokoza hili lakini ukweli ukiwa mpango umekwisha kuiva kurejesha ada mashuleni...
Ukiniuliza mimi, nitajibu kwa herufi kubwa kabisa, kuwa YES huu ulikuwa uamuzi wa kimakosa. Wazazi na walezi ni Sharti wachangie gharama za kusomesha watoto wao ktk ngazi zote za elimu..!
Mtazame na msikilize hapa.