Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
804
1,646
Kasheku Msukuma(MB) - Geita Vijijini leo bungeni akichangia kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu na Ufundi, amesema yawezekana walikosea kuja na sera ya "elimu bure" ama sometime hutumia kiswahili cha "elimu bila malipo" mwaka 2015..

Kuna kila dalili kuwa Msukuma ametangulizwa na CCM kulichokoza hili lakini ukweli ukiwa mpango umekwisha kuiva kurejesha ada mashuleni...

Ukiniuliza mimi, nitajibu kwa herufi kubwa kabisa, kuwa YES huu ulikuwa uamuzi wa kimakosa. Wazazi na walezi ni Sharti wachangie gharama za kusomesha watoto wao ktk ngazi zote za elimu..!

Mtazame na msikilize hapa.

 
Kasheku Msukuma(MB) - Geita Vijijini leo bungeni akichangia kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu na Ufundi, amesema yawezekana walikosea kuja na sera ya "elimu bure" ama sometime hutumia kiswahili cha "elimu bila malipo" mwaka 2015...
Kweli wewe ni Bugiki....yaani ndoto zako za mchana ndiyo utuletee hapa tujadili. Umeota weeee halafu unaleta hapa...nani ka kuambia hiki.....ebu tuweni wapana kimawazo tuache ufinyu wa namna hii. Lawama kila kuchao kwa hoja za ndoto za mchana.
 
Kweli wewe ni Bugiki....yaani ndoto zako za mchana ndiyo utuletee hapa tujadili. Umeota weeee halafu unaleta hapa...nani ka kuambia hiki.....ebu tuweni wapana kimawazo tuache ufinyu wa namna hii. Lawama kila kuchao kwa hoja za ndoto za mchana.
Ndugu siyo mimi. Ni mbunge wenu wa CCM, Kasheku Msukuma - Geita Vijijini leo bungeni...

Na wala siyo suala la kuota. It's a reality...

Video hiyo hapo akiongea. Sijui kwanini hujailewa na badala yake unani - attack mimi..! Una matatizo siyo...?

By the way, hayo ni maoni ya Mbunge...

Unaweza kukubaliana au unatofautiana naye..

Mimi nimekubaliana naye. What's wrong with that...?

Na wewe unasemaje kuhusu hilo..?

Jitahidi kutoa hoja na siyo kutapika frustrations zako na ku - attack personality za watu hapa....
 
Ndugu siyo mimi na wala siyo suala la kuota...

Hayo yamesemwa na mbunge wa CCM Kasheku Msukuma, bungeni leo.

Nimekuwekea na video hiyo hapo akiongea, lakini sijui kwanini hujanielewa na badala unani - attack mimi?

By the way, hayo ni maoni ya Mbunge. Unaweza kukubaliana au unatofautiana naye. Mimi nimekubaliana naye..

Wewe unasemaje?

Jitahidi kutoa hoja na siyo kutapika frustrations zako na ku - attack personality za watu hapa....

CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje???? hIKI ULICHOANDIKA SIYO NDOTO??? NANI ALIKUAMBIA KUWA WAMEMUTANGULIZA??? EBU CHUKUA JEMBE KALIME USILAL E MCHANA NA KUTUPA NDOTO HIZI​

 

CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje???? hIKI ULICHOANDIKA SIYO NDOTO??? NANI ALIKUAMBIA KUWA WAMEMUTANGULIZA??? EBU CHUKUA JEMBE KALIME USILAL E MCHANA NA KUTUPA NDOTO HIZI​

Uskatae unabii bdo upoo..
 
CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje???? hIKI ULICHOANDIKA SIYO NDOTO??? NANI ALIKUAMBIA KUWA WAMEMUTANGULIZA??? EBU CHUKUA JEMBE KALIME USILAL E MCHANA NA KUTUPA NDOTO HIZI

Unajadili heading au alichoongea Kasheku Msukuma mbunge ambacho ndicho msingi wa mada..?

Na mimi, nakusisitizia kujikita kujadili hoja. Acha ku attack personality za watu...

Tazama na sikiliza video hiyo Msukuma akiongea kisha rudi hapa na toa maoni yako..!!
 
Ccm kwa maksudi kabisa ukiiangalia kwa jinsi wanavyoigawana keki ya taifa kwa manufaa yao, na kwa jinsi wasivyo na uchungu kwa wananchi kwa utawala huu,

Na kwa jinsi Rais asivyoshaurika kuhusu mawaziri mizigo na hataki kabisa kuwaondoa, licha ya kwamba wanamchafua sana, na yeye kukubaliana na hali ya kuchafuliwa na anaona ni sawa tuu

Mambo mengi magumu nchi inapitia na hakuna hatua za maksudi ya kuitoa nchi kwenye mkwamo huo, ukijumlisha na hili la kuondoa elimu bule, ni dhahiri kabisa kuna mpango mahususi kutoka humohumo CCM kwamba, 2025 watakipa ushindi chama B" kipya kinachohangaika kupata usajiri wa kudumu

Kwa sababu ninachokijua, CCM piga ua garagaza, hswawezi kukipa ushindi Chadema ni bora hata itokee vita Ila si chadema kupewa nchi, basi watakipa chama chochote Ila sio Chadema

Kwa maana hiyo nawahakikishieni kuwa, 2025 hata kwa fimbo, hakuna mtu atakaye mpa kura mama Samoa Rais aliyepo

Kwa sababu moja tu, wananchi watakuwa wamechoka vibaya na maisha magumu, watakuwa wamechoka vibaya na huduma mbovu kwenye nchi inayowakamua kila uchwao

Niamini mimi
 
Ccm kwa maksudi kabisa ukiiangalia kwa jinsi wanavyoigawana keki ya taifa kwa manufaa yao, na kwa jinsi wasivyo na uchungu kwa wananchi kwa utawala huu,

Na kwa jinsi Rais aaivyoshaurika kuhusu mawaziri mizigo na hataki kabisa kuwaondoa, licha ya kwamba wanamchafua sana, na yeye kukubaliana na hali ya kuchafuliwa na anaona ni sawa tuu

Mambo mengi magumu nchi inapitia na hakuna hatua ya maksudi ya kuitoa nchi kwenye mkwamo huo, ukijumlisha na hili la kuondoa elimu bule, ni dhahiri kabisa kuna mpango mahususi kutoka humohumo CCM kwamba, 2025 watakipa ushindi chama B" kipya kinachohangaika kupata usajiri wa kudumu

Kwa sababu nawahakikishieni kuwa, 2025 hata kwa fimbo, hakuna mtu atakaye mpa kura mama Samoa Rais aliyepo

Kwa sababu moja tu, wananchi watakuwa wamechoka vibaya na maisha magumu, watakuwa wamechoka vibaya na huduma mbovu za serikali!

Niamini mimi
Hawajui Hawa, hawaelewi, ngja tusubiri TU
 
Msukuma hajatoa maelezo ya kutosha zaidi ya kuonyesha uwepo wa upungufu wa walimu, ambao ufumbuzi wake ni kuajiri walimu wa kutosha. Walimu wapo mitaani hawana kazi.

Labda nikuulize, kwanini wewe umekubaliana na huyo Musukuma?? Tuanzie hapo
Mbona wewe Husemi/hutoi sababu za kwanini hukubaliani naye..?

Mimi nimetoa sababu yangu/zangu unless labda hujasoma scripts vyema na kuelewa..

Nimesema, nakubaliana naye kwa sbb ni lazima kila mzazi/mlezi achangie sehemu ya gharama za elimu za watoto wake aliozaa mwenyewe...!

Je, wewe unasemaje? Una maoni gani?

Wala usihofu. Mimi sitakuhukumu kwa maoni yako ila nitayaheshimu maana maoni ni maoni tu, siyo lazima yawe ni fact...

Fanya hivyo kwangu pia na kwa Msukuma pia..
 
Ccm kwa maksudi kabisa ukiiangalia kwa jinsi wanavyoigawana keki ya taifa kwa manufaa yao, na kwa jinsi wasivyo na uchungu kwa wananchi kwa utawala huu,

Na kwa jinsi Rais asivyoshaurika kuhusu mawaziri mizigo na hataki kabisa kuwaondoa, licha ya kwamba wanamchafua sana, na yeye kukubaliana na hali ya kuchafuliwa na anaona ni sawa tuu

Mambo mengi magumu nchi inapitia na hakuna hatua za maksudi ya kuitoa nchi kwenye mkwamo huo, ukijumlisha na hili la kuondoa elimu bule, ni dhahiri kabisa kuna mpango mahususi kutoka humohumo CCM kwamba, 2025 watakipa ushindi chama B" kipya kinachohangaika kupata usajiri wa kudumu

Kwa sababu ninachokijua, CCM piga ua garagaza, hswawezi kukipa ushindi Chadema ni bora hata itokee vita Ila si chadema kupewa nchi, basi watakipa chama chochote Ila sio Chadema

Kwa maana hiyo nawahakikishieni kuwa, 2025 hata kwa fimbo, hakuna mtu atakaye mpa kura mama Samoa Rais aliyepo

Kwa sababu moja tu, wananchi watakuwa wamechoka vibaya na maisha magumu, watakuwa wamechoka vibaya na huduma mbovu kwenye nchi inayowakamua kila uchwao

Niamini mimi
Asante kwa maoni yako. Nayaheshimu kwa 100%...

Lakini this is my 👉👉👉👉 point, kwamba, it doesn't matter chama gani kipya kitaanza kutawala baada ya CCM...

Na haijalishi CCM kitaondokaje ktk ramani ya siasa za Tanzania...

Ukweli ni kuwa, CCM has to go..

Atakuja CHADEMA, sijui ACT Wazalendo au nchi itakuwa no political party state, kwangu it's ok. We are tired with this trash called CCM...
 
Kwa jinsi Musukuma alivyoiweka hoja yake bila maelezo mengi, ufumbuzi wa tatizo la upungufu wa walimu mashuleni ni kuajiri walimu wa kutosha. Walimu kwa maelfu wapo mitaani hawana kazi! Hela ya kuajiri hao walimu itatoka wapi, hilo ni suala lingine, lakini ufumbuzi wake si kutaka wazazi wachangie wakati tayari wanamsururu wa kodi.

Kimsingi hoja ya Musukuma ni nyepesi mno na wewe umeiunga mkono kirejareja…

Labda pia tuangalie faida za elimu bure, ili kuutendea haki mjadala huu. Miye nitaanza na moja tu, elimu bure imechangia pa kubwa kupunguza idadi ya watoto wa mitaani.
Unachanganya mambo mawili kiasi cha kukufanya ushindwe kuipata point ya mbunge huyu;

1. KULIPA KODI.

✓ Ni wajibu wa kisheria kwa kila mmoja kulipa kodi bila kujali ziko ngapi (kama ulivyosema wewe "...msururu wa kodi..")
✓ Ulipaji kodi hauangalii mtu either amezaa or hajazaa watoto. Watoto ni wako wewe, umewazaa wewe..
✓ Kodi alipayo kila mtu inawezesha serikali kutoa huduma mbalimbali kwa watu ikiwemo elimu, afya nk; kugharamia miradi ya maendeleo nk nk...

2. KUZAA WATOTO NA KUWATUNZA:

✓ Kila mtu ni ruksa kuzaa kadiri apangavyo na awezavyo yeye kulingana na uwezo wake wa kutunza watoto wake..
✓ It's a natural law kila mtu aliyezaa watoto kuwalea katika maadili mema na kuwatunza watoto wake kwa kuwahudumia kwa yote ikiwemo kugharamia elimu yao, mavazi, chakula..

IS MUSUKUMA (MB) RIGHT..?

✓ Absolutely, very right. Na yaonyesha umeamua kutoielewa hoja ya Mbunge huyu kwa kuwa una uelewa usioweza kuwa twisted either way kwa sababu yoyote ile. Haijalishi, huo ni uamuzi wako.

And may be presentation yake huyu mbunge ndiyo makes you not 🚭 to get his point...

✓ Msukuma ana maana hili, kwamba, acha kila mzazi achangie kiasi cha pesa kwa ajili ya elimu ya watoto wake mwenyewe ili zile bilioni kadhaa zitolewazo kila mwaka kwa kiitwacho " riziki ya elimu bure" zirudi huko huko mashuleni kwa jina jingine ili ziajiri walimu wapya kuziba gap linalosemwa na mbunge kisha zinunue vitabu, zijenge nyumba za walimu nk nk..

Hiyo ndiyo hoja ya Kasheku MUSUKUMA..

Umeelewa sasa? Je, una maoni gani mpaka hapo? Bado hujashawishika tu?

Asante.
 
Kasheku Msukuma(MB) - Geita Vijijini leo bungeni akichangia kwenye bajeti ya Wizara ya Elimu na Ufundi, amesema yawezekana walikosea kuja na sera ya "elimu bure" ama sometime hutumia kiswahili cha "elimu bila malipo" mwaka 2015..

Kuna kila dalili kuwa Msukuma ametangulizwa na CCM kulichokoza hili lakini ukweli ukiwa mpango umekwisha kuiva kurejesha ada mashuleni...

Ukiniuliza mimi, nitajibu kwa herufi kubwa kabisa, kuwa YES huu ulikuwa uamuzi wa kimakosa. Wazazi na walezi ni Sharti wachangie gharama za kusomesha watoto wao ktk ngazi zote za elimu..!

Mtazame na msikilize hapa.

View attachment 2219306
Sasa mkuu tatizo ni watoto kua wengi,au tatizo ni elimu kua bure?
 
Back
Top Bottom