beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge Jesca David Kishoa amehoji kwanini Mikataba haiwekwi wazi akisema kufanya hivyo kuna faida mbalimbali ikiwemo kujenga uaminifu kati ya Wananchi na Serikali.
Amesema hayo Bungeni Dodoma na kuongeza kuwa, Serikali inapaswa kuweka akilini kwamba Rasilimali za Tanzania ni za Wananchi na Serikali ni wasimamizi.
Ameeleza, "Nchi nyingi zimeshafanya hivyo, sisi tunafeli wapi? Kwanini tunashindwa kuweka Mikataba yetu wazi? Waziri atuambie ni lini Nchi yetu itaanza kutekeleza rasmi Sheria ambayo tuliyotunga wenyewe".
Amesema hayo Bungeni Dodoma na kuongeza kuwa, Serikali inapaswa kuweka akilini kwamba Rasilimali za Tanzania ni za Wananchi na Serikali ni wasimamizi.
Ameeleza, "Nchi nyingi zimeshafanya hivyo, sisi tunafeli wapi? Kwanini tunashindwa kuweka Mikataba yetu wazi? Waziri atuambie ni lini Nchi yetu itaanza kutekeleza rasmi Sheria ambayo tuliyotunga wenyewe".