The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Sio kuahirishwa. Bora hili bunge la kijinga likavunjwa ili tugawane mbao, tujue moja.
Ni shilling 2000 kwa kg 1 tu na wanapatikana sana sewa, kimboka bynight, zambezi inn, makali.o bar TMK, lambo, africa sana (hongera na cona bar) nk
Kuna dagaa wengi sanaa maeneo hayo.
Sio kuahirishwa. Bora hili bunge la kijinga likavunjwa ili tugawane mbao, tujue moja.
Sio kuahirishwa. Bora hili bunge la kijinga likavunjwa ili tugawane mbao, tujue moja.
Bora Tundu Lissu ndo angekua mwanasheria mkuu.Huyu mwingine anatuaibisha tu.
Acheni kuchochea vurumai bungeni. Hoja hukataliwa kwa hoja na si vinginevyo.hawa UKAWA ni matatizo matupu.hawaeleweki wameibukia wapi.hawajachagulia na yeyote.it is a confused group from no where.watu waliofika bungeni kwa muda tu halafu warudi watokako.they have nothing invested in this process