Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

sisiem wameshachoka kufikiri,kama mi nipo kazini kwangu nimejiajiri naangalia tv huku nafanya kazi,na huyu vuvuzela nape akiwa ofisini kwake lumumba anafanya kazi huku anasikiliza bunge,shida iko wapi jamani!!
Bunge lioneshwe live!!!!!
 
HII MANENO NDIO INAWAPONZA...........HAWAPENDI TUIONE

bingoland.jpg

kwi kwi kwi!
 
Utamtambuaje kama ni kilaza?!...NAPE bora anyamaze reasoning yake ni low sana!!
 
Dah nasikitika sana sana na jinsi watanzania tunavyotatua matatizo yetu.

Sasa Nape issue ni watu kuwa makazini hapa?? Au mashambani?? Mbona unaongea utumbo?? Issue ni kuonyeshwa live kwa bunge kunachangia wabunge kuvunja sheria kwa makusudi....which is NONSENSE.

Kama hakuna anayeangalia bunge live kwa nini walete hoja ya wabunge kutafuta umaarufu??
 
Asubuhi ni muda wa kazi. Ukienda ofisini halafu usihudumiwe kisa mfanyakazi yupo busy kwa kuangalia bunge utajisikiaje?

Bunge lisionyeshwe live, wawe wanaonyesha marudio yake yote saa tano na nusu usiku.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Huo nao ni muda wa kulala sasa sijui unasemaje hapo!! Hizo sababu mnazozitoa kuhalalisha hiyo kitu hazina mashiko kabisa.
 
Ufinyu wa fikra kitu kibaya sana Bwana nape. Ni lini utaongea jambo la busara lenye mashiko?
Mi. Naona uwe mwanamziki tu siasa achana nazo Dogo.
Yani mpindishe kanuni then kisingizio wapiga kura wanaona madudu yenu?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye, amesema kuwa jambo lolote ambalo linaleta heshima kwa Bunge analiunga mkono.

“Suala la Bunge kurushwa ‘live’ halirushwi kwa wakati ambao watu wanafuatilia kwani wakati wa asubuhi watu wanakuwa maofisini, wakati wa mchana wao wanakuwa wako mapumziko wanakula na Bunge nalo linakuwa mapumziko, sasa wanaangalia saa ngapi?” alihoji Nape.
Alisema hawezi kupinga suala ambalo linaonekana lina faida na kuleta heshima kwa Bunge hivyo anaafiki uamuzi huo.

Source:Nipashe Ijumaa
Kwa kiasi sana nami kauli za Nape zinaanza kunishangaza.Hivi ina maana huyu ndugu yetu hajaelewa mjadala? suala ni vurugu na wabunge wanaofanya fujo bungeni ndio chanzo cha bunge kutorushwa live.Sasa suala la kwamba likirushwa live watu huwa wanakuwa hawana muda wa kuangalia Nape unatuanzishia mada mpya.Samahani lakini mkuu Nape! ila nakushauri penye ukweli usilete masihara.!
 
huwa najiuliza hawa ccm wana akili timamu au matumbo yao ndio yanawafanya wajidhalilishe hivi?
 
Hey Guyz u know what? mwanzoni Nape nilikuwa nafikiri ana akili kumbe leo ndio nimeondoa ile shaka kwamba Nape ni bonge la BOGUS na KILAZA!!!!!!!! Hivi huyu jamaa hana washauri wa kumuelekeza jambo la kuongea kwenye jamii!!!!???
SHAME ON YOU!!!!!
 
Angeulizwa walionakazi kwenye maofisi ya umma na kuwepo maofisini saa za asubuhi ni asilimia ngapi ya waTz sijui angejibu nini? Kama saa hizo hakuna watazamaji imekuwaje watu wanauelewa wa kila kitu kinachotokea Bungeni kila siku?
 
Kwa kiasi sana nami kauli za Nape zinaanza kunishangaza.Hivi ina maana huyu ndugu yetu hajaelewa mjadala? suala ni vurugu na wabunge wanaofanya fujo bungeni ndio chanzo cha bunge kutorushwa live.Sasa suala la kwamba likirushwa live watu huwa wanakuwa hawana muda wa kuangalia Nape unatuanzishia mada mpya.Samahani lakini mkuu Nape! ila nakushauri penye ukweli usilete masihara.!
fighting-parliaments-globally-20.jpg

hata ulaya ukileta upuuzi bunge linakuwa halitoshi..ndo dawa yenu na tutafika tu
 
Hawa ndio viongozi walioachiwa na baba zao wanafikiria kwa kutumia ------
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye, amesema kuwa jambo lolote ambalo linaleta heshima kwa Bunge analiunga mkono.

“Suala la Bunge kurushwa ‘live’ halirushwi kwa wakati ambao watu wanafuatilia kwani wakati wa asubuhi watu wanakuwa maofisini, wakati wa mchana wao wanakuwa wako mapumziko wanakula na Bunge nalo linakuwa mapumziko, sasa wanaangalia saa ngapi?” alihoji Nape.
Alisema hawezi kupinga suala ambalo linaonekana lina faida na kuleta heshima kwa Bunge hivyo anaafiki uamuzi huo.

Source:Nipashe Ijumaa

Watu wa CCM ni hatari sana kwa mustakabali wa rasilimali za Watanzania,tukiona live tutagundua ni jinsi gani nchi inamegwa na wenye njaa kali na uroho wa madaraka.Bunge ni chombo chetu ambacho kinawakilisha wananchi na ndiyo sehemu yetu ya kusemea na kuibana serikali sikivu ya CCM.Leo ukitokea na kusimama hadharani na ku support kuwa ni vizuri kutoonyeshwa kwa kutumia kigezo cha watu wapo makazini inadhihirisha ni jinsi gani mh. Nape haoni mbali ama ana tumika na kuicheza ngoma ambayo haijui.

Ni watanzania wangapi leo ambao ni watumishi wa serikali na sekta za umma kiasi hoja yako iwe na mashiko kwa utetezi huo.Inasikitisha tena inatia kichefu chefu kwa kijana kama Nape kuwa na fikra mgando kwa kuvunja makusudi katiba ya JMT ibara ya 18(d). kutaka kuzuia wananchi kupata na kujua habari za mambo yanayohusu maisha yao ya kila siku.Shame on you,kwa kuwa umeanza wewe kusema tunasubiri pacha wako Mwigulu naye atakurupuka muda si mrefu.

Si mnasema wapinzani ndiyo wanaochafua hali ya hewa bungeni,waacheni waonekanae live ili wananchi tuamue nani atatufaa 2015 nani amalizie muda wake utaishia hapo alipo,hivi kweli unawezaje kumuonea huruma adui yako ikiwa kweli wewe unasimamia haki na unataka mabay yake yaonekane?
 
Asubuhi ni muda wa kazi. Ukienda ofisini halafu usihudumiwe kisa mfanyakazi yupo busy kwa kuangalia bunge utajisikiaje?

Bunge lisionyeshwe live, wawe wanaonyesha marudio yake yote saa tano na nusu usiku.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Muda wa kazi kwa ninyi watumwa wa kazi za kuajiriwa na kupangiwa muda wa kwenda na kurudi. Sisi tunaojipangia muda wa kazi zetu bungeni tunaangalia bunge kwa raha zetu. Pia kumbuka nyie maCCM mmesababisha ukosefu wa ajira kwa mamilioni ya watanzania kwa hiyo hao jobless bunge ndio burudani yao pekee.

Kwani kuna mwananchi ambaye amewahi kulalamika kuwa bunge lisionyeshwe live kwa kuwa hatuna muda wa kuangalia. Mbona hotuba kibao za FASTJET kwenye kazi yake ya kuzindua visima, barabara au mahoteli huwa zinaoneshwa live?? Mbona TV kama ITV, TBCCM, CNN zinagonga vipindi 24hrs ina maana mida ya kazi wanapoteza muda na rasilimali zao bure?? Mbona mimi nina TV ofisini kwangu?? Kuweni na akili nyie maCCM mkiongozwa na akili ndogo za akina Nape na Mwigulu chemba mtatia aibu kwa kizazi hiki cha dotcom
 
Huyu ana akili timamu kweli? Hivi anajua kuwa ni Watanzania wangapi wanaenda kazini? Tena maofisini? Mbona yeye anafanya mikutano ya hadhara saa za kazi?

Wengine tuna vingamuzi vinavyo rekodi programme wakati tupo kwenye shughuli nyingine atuondolee analog zake!
 
Back
Top Bottom