Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
bunge lazima lioneshwe live! swala la kutaka kuonesha recorded halipo kabisa. hiyo recorded itakuwa ni marudio baada ya kuona live vituko vyote na sarakasi za bungeni.
Tatizo si muda,kuonyeshwa kwa bunge ni haki ya mtanzania....
HAYA NDO MANENO YA NAPE FB,Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye, amesema kuwa jambo lolote ambalo linaleta heshima kwa Bunge analiunga mkono.
"Suala la Bunge kurushwa ‘live' halirushwi kwa wakati ambao watu wanafuatilia kwani wakati wa asubuhi watu wanakuwa maofisini, wakati wa mchana wao wanakuwa wako mapumziko wanakula na Bunge nalo linakuwa mapumziko, sasa wanaangalia saa ngapi?" alihoji Nape.
Alisema hawezi kupinga suala ambalo linaonekana lina faida na kuleta heshima kwa Bunge hivyo anaafiki uamuzi huo.
Source:Nipashe Ijumaa
Tatizo naloliona kwako Bwana Nape ni kukurupuka katika statements au mitazamo yako unayotoa ktk masuala mbalimbali, tena si mara moja wala mbili tukianzia ukiwa ndani ya chama chako na hadi nje.Sasa baada ya katibu wa bunge kuzungumzia nia ya bunge kukatisha matangazo ya Live kwa wananchi wewe hukuchukua tahadhari kwamba huenda alikua anatest reaction ya wadau mbalimbali itakuwaje, ukaingilia hoja ukiwa mzimamzima na kuunga mkono ubakaji huo dhidi ya uhuru wa maoni, kabla ya baadaye viongozi wa bunge kutulia na kutafakari na kuona watu wa generation hii hawaburuzwi hata kidogo, na katika tamko lake ameahidi kuboresha matangazo hayo maradufu ili kukuza demokrasia na utawala bora, sasa baada ya Katibu wa bunge kutoa waraka huu sikusikii tena, upo kimyaa na utaendelea kua kimya kwa sababu umekiaibisha chama chako kwa kuonyesha kuwa chama kinakumbatia unafiki.Kimsingi ni kwamba umeonyesha udhaifu mkubwa sana ktk position ulionayo, ila cha msingi nafkiri umepata somo kwamba that's not how the politicians handle issues, sekretarieti ya chama inaonekana kupwaya saivi, katibu mkuu ndo hivo tena ana kashfa ya tembo, wewe unacheza chini ya kiwango.Unadhani mnafanya siasa gani sasa? hadi 2015 natabiri CCM kubadilisha sekretarieti zaidi ya mara 1 japo kupunguza kasi ya CDM ingawa ni ngumu sana kuwapunguza kasi CDM sasa hivi.
[h=5]leo ccm wamempokea aliyekuwa sekretari wa dr.slaa (swaumu) ametoa ushuhuda namna alivyoamua kuiacha chadema kwa sababu ya kumnyima penzi dr.slaaoh noo.....poor you
leo ccm wamempokea aliyekuwa sekretari wa dr.slaa (swaumu) ametoa ushuhuda namna alivyoamua kuiacha chadema kwa sababu ya kumnyima penzi dr.slaa
dr.slaa alikuwa anamforce kufanya mapenzi ofisini,alipomnyima akasimamishwa kazi na mshahara ukakatwa.
Amelia sana namna alivyokuwa na fungiwa ofisini na kulazimisha ampe penzi kwenye ofisi ya katibu mkuu...
Shetani ni shetani,huwezi ---- kiongozi kwa kuiba wake za watu na sasa unaharibu future za vijana kwa kuwalazimisha wakupe penzi na uzeee huooo...
Amekabidhi kadi ya cdm mbele ya jopo la viongozi wa chama makini ccm huku akiapa kutorudi nyuma.
Hongera swaumu kwa kutambua kuwa cdm sio chama ni genge la wahuni,pole kwa yote,alimshinda rose kamili,akakimbilia kwa hawara(josephine) leo anakimbilia kwa mtoto kama ww ambaye ni sawa na binti yake yule aliyeolewa na dady igogo
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nauye, amesema kuwa jambo lolote ambalo linaleta heshima kwa Bunge analiunga mkono.
Suala la Bunge kurushwa live halirushwi kwa wakati ambao watu wanafuatilia kwani wakati wa asubuhi watu wanakuwa maofisini, wakati wa mchana wao wanakuwa wako mapumziko wanakula na Bunge nalo linakuwa mapumziko, sasa wanaangalia saa ngapi? alihoji Nape.
Alisema hawezi kupinga suala ambalo linaonekana lina faida na kuleta heshima kwa Bunge hivyo anaafiki uamuzi huo.
Source: Nipashe Ijumaa