kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Hivi jamani hata hamuwezi kutumia akili ndogo yenu hata 1/25 tu na kubaini kuwa maamuzi yote ya ovyo bungeni 99.9% ni maamuzi na maazimio ya Secretariati ya CCM?.CCM imebaini imepwaya sana na hasa kwenye Bunge ccm imedorora sana na kwa akili finyu zao wanakurupuka na hoja dhaifu sana.Hoja hii ni sawa na ile ya Makamba Sr, ya kuzuia Mchakato majimboni ambapo ccm ilizuia wagombea wake wasishiriki kwenye mjadala na mdahalo wa wagombea.Pia CCM ina maazimio ya kuzuia magazeti ya binafsi yenye mtizamo chanya na wananchi kusomwa kwa ufupi na mapitio kwenye radio na TV ya serikali na washirika wao kama RFA,StarTV,au kusoma habari nyepesi sana zisizo front page.Kwa hakika ccm ina jichimbia kaburi na serikali yake.ALUTA CONTINUA