Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Hakuna wabunge wa kufanikisha Hilo.
Kwa MASLAHI ya Taifa, ni lazima bunge liwe na mchanganyiko wa wabunge kutoka vyama vyote. Wabunge wa chama kimoja pekee hawawezi kupinga wizi wa fedha za umma.
Hii ni kusema kwamba wanaoharibu uchaguzi kwa kuiba kura au kubadili matokeo, wanalihujumu taifa letu.
Kwa MASLAHI ya Taifa, ni lazima bunge liwe na mchanganyiko wa wabunge kutoka vyama vyote. Wabunge wa chama kimoja pekee hawawezi kupinga wizi wa fedha za umma.
Hii ni kusema kwamba wanaoharibu uchaguzi kwa kuiba kura au kubadili matokeo, wanalihujumu taifa letu.