johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,019
Ni Kwamba Mjadala wa Bunge la Taarifa za PAC, LAAC na PIC kuhusu Ripoti ya CAG ulihusisha Wabunge kama Wabunge na Siyo Wabunge na Serikali
Mawaziri walichangia kama Wabunge na Siyo kama Serikali
Maazimio yaliyopitishwa yamepitishwa na Bunge zima kwahiyo tusubiri utekelezaji kutoka serikalini
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Mawaziri walichangia kama Wabunge na Siyo kama Serikali
Maazimio yaliyopitishwa yamepitishwa na Bunge zima kwahiyo tusubiri utekelezaji kutoka serikalini
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀