johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Mbunge wa Mbozi George Mwenesongole amelitaka Bunge liazimie Wezi wote wa Kuku waliofungwa Waachiliwe
Mwenisongole anesema hatuwezi kuwa tunawafunga Wezi wa Kuku na kuwaacha Mafisadi wakitamba mitaani
Mwenisongole alikuwa akichangia hoja za ripoti ya CAG
Mlale Unono 😀😀
Mwenisongole anesema hatuwezi kuwa tunawafunga Wezi wa Kuku na kuwaacha Mafisadi wakitamba mitaani
Mwenisongole alikuwa akichangia hoja za ripoti ya CAG
Mlale Unono 😀😀