Bunge letu linapoteza hadhi!

Bunge letu linapoteza hadhi!

Spika,Naibu Spika na Wenyeviti wa wabunge wanatakiwa kuwa fair na kutumia vyema sheria na kanuni za bunge kwa manufaa ya Taifa kama Taifa na siyo kwa manufaa ya vyama.Watuonee huruma watanzania kwani tunamatatizo mengi ya kuyafanyia kazi hili la haki za kibunge lisiwe na lenyewe tatizo la kuanza kulifikiria.
kwa hiyo wewe unadhani njia nzuri na yakudumu ya kutatua tatizo hili inaweza kuwa ni ile ya kuwa na spika na naibu wake ambao hawatokani na chama cha siasa?
 
ndo hivyo kwenye msafara wa mamba na kenge wapo...........bora nusu hasara kuliko hasara nzima.
kwenye bunge la Urusi Mwaka 2007 ilikuwa hivi;
 
Last edited by a moderator:
Ibara ya 63 (2) ya Katiba ya JMT inaweka wazi kuwa Bunge litakuwa na madaraka, kwa niaba ya wananchi, kuisimamia na kuishauri serikali ya JMT na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wa majukumu yake.

Hii ni dhana ya Separation of Powers which is a must in the running of a sovereign state.

Hali hiyo haipo sasa na ni tofauti kabisa.

Bunge limekuwa kataasisi kadogo kaserikali kwa ajili ya kupitisha maamuzi na mipango ya serikali, hata kama ni haramu au feki.

Katika hali ya kufedhehesha Serikali sasa ndio inalisimamia Bunge !

Waziri sasa ana uwezo wa kuamua kama hoja binafsi iwasilishwe au la, japo ni kinyume na kanuni.

Na kazi kubwa ya spika imekuwa ni kukandamiza upinzani huku akinyenyekea mabosi wake ambao ni mawaziri ie serikali.

Wabunge wa CCM ambao ni wengi zaidi wanaitumia fursa ya uwakilishi wa wananchi kuiwakilisha serikali na kuilinda badala ya kuwakilisha wananchi, ie hawajui wajibu wao na hudhani kuwa wao ni viongozi wa serikali.

Hivyo basi, kwa sasa hatuna chombo cha kuisimamia serikali !
 
Mmiliki ni anna makinda na job ndugai walengwa/benefisheries ni wabunge wa ccm na wapambe wao ambao wanaishi mjini kiujanja ujanja tu.
 
Spika,Naibu Spika na Wenyeviti wa wabunge wanatakiwa kuwa fair na kutumia vyema sheria na kanuni za bunge kwa manufaa ya Taifa kama Taifa na siyo kwa manufaa ya vyama.Watuonee huruma watanzania kwani tunamatatizo mengi ya kuyafanyia kazi hili la haki za kibunge lisiwe na lenyewe tatizo la kuanza kulifikiria.
Wenzetu wa CHADEMA wanaiga mambo ya Canada.hebu check hapa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Nidhamu bila haki ni ngumu..
Umeongea ukweli mtupu! Hawa akina Makinda n'a Ndugai wanawalaumu wabunge wa upinzani kwa kusababisha vurugu bungeni, lakini wanasahau kuwa nguzo kuu ya utulivu n'a amani ni kutenda haki, watanzania wote hivi sasa wanajua kuwa spika Makinda n'a Naibu wake Ndugai wanafanya upendeleo wa wazi kwa wabunge wa CCM, sasa yanapotokea haya yanayotokea sasa, hivi anayestahili kubeba lawama ni wabunge wa upinzani au Spika n'a Naibu wake??!!
 
Ilishajulikana kuwa wapinzani watalete vurugu Siku nyiiingiii next tyme ffu watakuwepo kuwakamata wakorofi woootee
 
:becky::becky::becky::becky::majani7::majani7::majani7::majani7:
nimecheka balaaaa nafikiri tufike huku ndio tuheshimiane
 
Wakati fulani bhandugu tufikirini kwanza kabla ya kushabikia mambo ya ajabu ajabu bungeni kwa sababu kuna wabunge wakisifiwa ndo wanaendelea na kuna siku itakuwa vurugu kubwa.Nilazma wabunge wawe na nidham ndani ya bunge letu.
Huko Katika bunge la Korea tarehe 22 July 2009 ilikuwa hivi;
nidhamu itatusaidia nini kamamambo yaq msingi kwa wananchi hayazingatiwi.nidhamu ilikuwapo toka enzi za mwalimu,hakuna lolote linaeleweka lilishawahi kuamriwa zaidi ya kufuga wezi.
halafu wewe juakutofautisha vitu vya msingi na utovi wa nidhamu.
 
Last edited by a moderator:
ilishajulikana kuwa wapinzani watalete vurugu siku nyiiingiii next tyme ffu watakuwepo kuwakamata wakorofi woootee
anakusudia kwamba mabomu yawe yanapigwa ndani ya bunge! Lissu lazma atakuwa anatembea na chupa yake ya maji wakati wote tehe! Tehe! Tehe!
 
Mimi nalipenda bunge lenye changamoto kama la sasa, bunge la yes bwana wakati hakuna linalofanyika katika yale unayoshauri jimboni mwako ni kukunyonga kisiasa. Hongera Lisu-Kingwangala hakuwa na jipya kwenye hoja yake -Wizara ya Kazi ina kitengo cha uwezeshaji kwa vijana-nini kimewezeshwa mpaka sas? huo mfuko mpya ndio utawezeshwa? Yako wapi mabilioni ya JK? au tunataka kuongeza walaji kwenye mifuko hiyo?
Kwa uwezo wa uendeshaji bunge wa kina makinda na ndugai -tutegemee nini zaidi ya fujo? nadhani wanatakiwa kushitakiwa na kufikisha mahakamani mapemaili wajifunze. Haiwezekani spika akawa na upande wa kushabiki awaziwazi namna hiyo. Hao mawaziri Kawambwa na Maghemeb walikuwa wapi kuwasilisha hatua za utekelezaji au kutekeleza mapema mpaka wasubiri kuletwa kwa hoja binafsi ya Mbatia na Mnyika?
Kama wamechoka kuongoza bunge waachie ngazi-lkn naona ni mpango maalum kwani 2015 spika hatotokana na chama kwa hiyo hana cha kuomba baadae.
 
Wakati fulani bhandugu tufikirini kwanza kabla ya kushabikia mambo ya ajabu ajabu bungeni kwa sababu kuna wabunge wakisifiwa ndo wanaendelea na kuna siku itakuwa vurugu kubwa.Nilazma wabunge wawe na nidham ndani ya bunge letu.
Huko Katika bunge la Korea tarehe 22 July 2009 ilikuwa hivi;
nidhamu itatusaidia nini kamamambo yaq msingi kwa wananchi hayazingatiwi.nidhamu ilikuwapo toka enzi za mwalimu,hakuna lolote linaeleweka lilishawahi kuamriwa zaidi ya kufuga wezi.
halafu wewe juakutofautisha vitu vya msingi na utovi wa nidhamu.
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo wewe unadhani njia nzuri na yakudumu ya kutatua tatizo hili inaweza kuwa ni ile ya kuwa na spika na naibu wake ambao hawatokani na chama cha siasa?
natamani itokee hivyo ili watu wajue wapo bungeni kufanya nini.maana mie naona wanatuzingua tu.tena inabidi waanze na yule bibi.
 
Tatizo lililopo ni mfumo ! Inapaswa kutenganisha mihimili ya dola yaani Bunge, Mahakama na Serikali. Vinginevyo mipasho na siasa za ki CCM hazitaisha bungeni na bunge litazidi kupoteza maana ya kuwepo kwake ! Mpaka sasa ukiniuliza umuhimu wa Bunge nitapata shida kujibu ! Ni kheri bunge lisiwepo waendelee kuihoji serikali kwenye vikao vyao vya chama ! Maana bunge sasa limekuwa kama kikao cha chama !!!!!!!!!!
 
natamani itokee hivyo ili watu wajue wapo bungeni kufanya nini.maana mie naona wanatuzingua tu.tena inabidi waanze na yule bibi.
Hata mimi natamani spika, naibu spika wasiwe na vyama NA MAwaziri wasiwe wabunge.wawe ni wataalam wakuajiriwa.hapo natumai mambo yatakwenda vizuri.kwenye katiba mpya naamini hili litapitishwa.
 
Wabunge wa chadema wastaarabu sana, mimi sina muda wa kuvumulia upumbavu wa wazi huki nikiomba muongozo, hivyo siwezi kukaa kwenye bunge la kishoga kama hili kuendekeza upuuzi huku wana nchi wana shida wza kutupa
 
Wakati fulani bhandugu tufikirini kwanza kabla ya kushabikia mambo ya ajabu ajabu bungeni kwa sababu kuna wabunge wakisifiwa ndo wanaendelea na kuna siku itakuwa vurugu kubwa.Nilazma wabunge wawe na nidham ndani ya bunge letu.
Huko Katika bunge la Korea tarehe 22 July 2009 ilikuwa hivi;


Ndiyo maana wanaendelea kwa kuwa hawaendekezi ujinga!! Hivi hujui kuwa hawa jamaa walikuwa maskini kama sisi miaka ya 60 lakini leo wako first world.............. sasa kama wangendekeza design zako za akina Makinda na nidhamu sidhani kama wangefika hapa walipo sasa kimaendeleo!!
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka bunge ulikute Tanzania?. thubutu!! Huyo spika alipachikwa kwa ushabiki tu wa kijinga kama mimba ya kubakwa!! hana uwezo na chembe!!
 
Back
Top Bottom