masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Siyo siri Bunge katika kikao kilichopita cha 10 lilkuwa Bunge lisilo na viwango wala standards za kuenzi demokrasia.
Tuache unazi wa vyama, pale Bungeni ni mahali pa hoja na si vinginevyo.
Hoja hujadiliwa na muafaka hupatikana kwa ajili ya utekelezaji.
Utungaji sheria, mijadala inayoletwa na wakilishi wa wananchi, kusimamia serikali na taasisi zake ndio misingi mikubwa ya kuwa na Bunge.
Kanuni na taratibu zipo pale kufanya mambo yaendeshwe kistaarabu tu.
Vurugu na kuonyeshana ubabe si dalili njema katika jamii hasa zinapotokea mahali kama Bungeni.
Tumeona kuwa kuna wale wenye damu changa kuliko wengine, hata Mwalimu aliwahi kusema wako left of centre, ni rahisi sana wao kuingia katika mhemko wa hasira, ngumi na kurushiana maneno mabaya.
Lakini yote tisa, kumi ni marefa walioapishwa kuendesha Bunge letu tukufu kwa haki na impartiality kushindwa kazi hiyo.
Kwa matokeo ya Bunge liliopita ni vema wakajifikiria jinsi walivyo udhalilisha mhimili huu muhimu kwa kukosa viwango si vya kimataifa tu, bali hata kitaifa.
Mama Makinda na Job Ndugai tunaomba mjipime wenyewe na kuchukua uamuzi mgumu kwa manufaa ya umma wa Kitanzania!
Tuache unazi wa vyama, pale Bungeni ni mahali pa hoja na si vinginevyo.
Hoja hujadiliwa na muafaka hupatikana kwa ajili ya utekelezaji.
Utungaji sheria, mijadala inayoletwa na wakilishi wa wananchi, kusimamia serikali na taasisi zake ndio misingi mikubwa ya kuwa na Bunge.
Kanuni na taratibu zipo pale kufanya mambo yaendeshwe kistaarabu tu.
Vurugu na kuonyeshana ubabe si dalili njema katika jamii hasa zinapotokea mahali kama Bungeni.
Tumeona kuwa kuna wale wenye damu changa kuliko wengine, hata Mwalimu aliwahi kusema wako left of centre, ni rahisi sana wao kuingia katika mhemko wa hasira, ngumi na kurushiana maneno mabaya.
Lakini yote tisa, kumi ni marefa walioapishwa kuendesha Bunge letu tukufu kwa haki na impartiality kushindwa kazi hiyo.
Kwa matokeo ya Bunge liliopita ni vema wakajifikiria jinsi walivyo udhalilisha mhimili huu muhimu kwa kukosa viwango si vya kimataifa tu, bali hata kitaifa.
Mama Makinda na Job Ndugai tunaomba mjipime wenyewe na kuchukua uamuzi mgumu kwa manufaa ya umma wa Kitanzania!