Bunge letu linapoteza hadhi!

Bunge letu linapoteza hadhi!

CCM wana uzoefu wa ku-run nchi chini ya mfumo wa chama kimoja. CCM bado hawajajua jinsi ya kuendesha nchi sambamba na chama cha upinzani chenye nguvu.

Na mpaka wakija kujua itakuwa too late. Na viongozi wake wamekosa mbinu kabisa, wanashindwa hata kuchunguza, kujifunza kwa vyama tawala vya nchi zilizoendelea. Ni kitu rahisi mno kuwafanya watanzania kuwa upande wako, lakini CCM hawajui nini cha kufanya.

Kama CCM wangekuwa na akili kidogo tu kama punje ya mhindi, wapinzani wangekuwa na hali ngumu sana
.

Yaani hata hawapeani ushauri, mwenzao akiharibu wanamtetea mbele ya macho ya watanzania, sasa sijui wanadhani watanzania ni vipofu au ni mapunguani hata sielewi.
 
maccm yote akili zao sawa kuanzia mwenyekiti wao taifa hadi balozi wa nyumba kumi wa mtaa wetu asiyejua kusoma na kuandika..
 
unadhani hapo kwenye bold nyekundu kulikuwa na ulazma wa kutukana?

ungejua kilicho moyoni mwangu hapo najiona sijatukana kabisa... nashindwa kuendekeza unafki ndiyo tatizo langu kubwa. upuuzi wanao ufanya mbona hilo siyo tusi
 
Nimekuwa nikifuatilia siasa za bunge letu tukufu kwa muda mrefu lakini uendeshaji wa bunge la kumi unakera, unakamia kulipiza visasi, kama umeelemea upande mmoja hivi, wabunge wanatukana wenzao , wanawadhalilisha .. viongoz wao kimyaah! et wafute kauli bhaasi. matukio ya hiv punde ya kusitishwa kwa bunge yamenishtua kidogo.. naomba kueleweshwa je muendelezo wa mnyukano wa hoja za upinzani dhidi ya zile za chama tawala, bila kujali kama zina maslah kwa taifa ama lah je ni Siasa za kuoneshana umwamba au ni kutojali kwa wabunge wa CCM na serikal yake? naomba ufafanuz barid wa suala hil nielewe vzuri maana hata wabunge wa upinzani wamekuwa wakipinga hoja za wenzao wa chama tawala lakini kwa hoja.., wakat wenzao wana2mia ubabe zaid! bado cjaelewa kuna nini behind bunge politics!! jamanie wanaojua naomba mnidadavulie!
samahani hivi tukufu maana yake nini?maana nahisi neno tukufu lina maana pana sana.
 
Ndugu zangu wana jf naimani wingi wetu katika jukwaa hili nizaidi wa wabunge wa bunge letu la jamhuri ya Tanzania,sasa ninaomba tutumie nasi wingi huu kujibu swali langu lifuatalo kama wingi wa wabunge unavyotumika kuangamiza hoja za wabunge wa upinzani zenye tija kwa maendeleo ya wananchi
SWALI -wanaoafiki kua mwisho wa ccm ni 2015 waseme ndiyoo na wasioafiki waseme sioo
 
Siooooooooooooooooooooooooooooooooooo.
Kama tunaruhusiwa kutoa taarifa na mwongozo nitarudi.
 
Ndugu zangu wana jf naimani wingi wetu katika jukwaa hili nizaidi wa wabunge wa bunge letu la jamhuri ya Tanzania,sasa ninaomba tutumie nasi wingi huu kujibu swali langu lifuatalo kama wingi wa wabunge unavyotumika kuangamiza hoja za wabunge wa upinzani zenye tija kwa maendeleo ya wananchi
SWALI -wanaoafiki kua mwisho wa ccm ni 2015 waseme ndiyoo na wasioafiki waseme sioo


Ndiyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
hii inafaa kule chitchat,
NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Hili ni bunge lililopo chini ya serikali ya ccm! Linanyang'anywa nguvu zake na serikali,na wabunge wa ccm wanashangilia. Hii ni hatari kwa mustakabali wa taifa letu.
 
Nimekuwa nikifuatilia siasa za bunge letu tukufu kwa muda mrefu lakini uendeshaji wa bunge la kumi unakera, unakamia kulipiza visasi, kama umeelemea upande mmoja hivi, wabunge wanatukana wenzao , wanawadhalilisha .. viongoz wao kimyaah! et wafute kauli bhaasi. matukio ya hiv punde ya kusitishwa kwa bunge yamenishtua kidogo.. naomba kueleweshwa je muendelezo wa mnyukano wa hoja za upinzani dhidi ya zile za chama tawala, bila kujali kama zina maslah kwa taifa ama lah je ni Siasa za kuoneshana umwamba au ni kutojali kwa wabunge wa CCM na serikal yake? naomba ufafanuz barid wa suala hil nielewe vzuri maana hata wabunge wa upinzani wamekuwa wakipinga hoja za wenzao wa chama tawala lakini kwa hoja.., wakat wenzao wana2mia ubabe zaid! bado cjaelewa kuna nini behind bunge politics!! jamanie wanaojua naomba mnidadavulie!

Hapo pekundu panatumika vibaya. HIVI UTUKUFU UNAWEZA KUPATIKANA KWENYE BUNGE LA TANZANIA?!
 
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa makampuni ya simu yaanjifanyia yanvyotaka na hakuna wa kumlinda mtumiaji. Kwa nini waovercharge sms ya kwanza? Kwani lazima mtu atume zaidi ya sms moja? Huu ni wizi wa wazi! TCRA hawaoni madudu kama haya?
 
kazi ya wabunge wetu ni kukusanya posho na kwenda kufanyia matumizi. Kuhoji serikari si jukumu lao la msingi. Kupinga hoja za serikari ni dhambi kwa chama cha mapaparazi.
Maisha bora kwa kila mtanzania ni ya wabunge.
 
Bunge sasa linaongozwa na wavuta bange tu, hakuna cha maana kinachoendelea chenye manufaa kwa wananchi wa Tz. Naona as if wanatumia fedha za walipakodi bure bila ya manufaa yeyote.
 
Back
Top Bottom