kwani hamjui Simon group ni geresha na mnunuzi wa kweli ni RIZIWANI????????????????????????
hii filamu kali sana, ni zaidi hizi za akina kanumba, maana kila siku zinakuja fact tofauti tofauti
kwani hamjui Simon group ni geresha na mnunuzi wa kweli ni RIZIWANI????????????????????????
Thubutuu!! Ndoto za mchana kweupe uache. Kwenye chama cha magamba Nani mwenye ubavu wa kumpa Lowasa barua???????Barua za kufukuzwa kutoka kwenye chama...Lowassa nae alipewa
Na kweli tutashika adabu kw 60% ya wapiga kura kutuwekea huyu jamaa madarakani.Unatarajia nini kutoka kwa kiongozi mahiri mzururaji? Wa Tatanzania hiyo ni miaka yenu ya kuumia. mpaka mshike adabu kwa wrong choice ya uprezida
Nilikuwepo kwenye hafla hii, ni siku aliyofuturisha, wanaume walipewa mifuko hii ikiwa na vikoi na supande wa wanawake mama salma aligawa zawadi ya aina hii ndani kukiwa na vitenge. Ni zawadi ya futuru.. Ila kwangu mimi sioni kama ni sadaka kwani anawaridhisha matajiri amabo hata hata hivyo vitu hawatavitumia, wanaweka makabatini tu.. Ni bora angeamua kufuturisha wale wasiojiweza , wenye shida hata ya kg 1 ya unga kwa siku
Bila kujali ni zawadi gani anayopewa huyu hakupaswa hata kukanyaga ikulu. Mbali ya tuhuma za ufisadi,juzi pia katutukana watanzania wote kupitia kwa wawakilisha wetu leo tunamwona kwenye ofisi yetu ya juu kabisa nchini akipeana mkono na mkuu wa nchi, is he being rewarded kwa kutuibia na kutuinsult?. Huu upuuzi I'm sure huwezi kuuona mahali pengine popote duniani zaidi ya Tanzania.
![]()
Msahiki Meya wa Dar-es-Salaa, Didas Masaburi.
yaani bado mnafikiria kuhusu huyu bwana +jairo kuchukuliwa hatua? poleni sana hawa ndiyo wazee wa mujini mujini wanajua kuteta kufichiana aibu. ipo siku ukweli utashinda watenda madhambi wataumbuka.![]()
Msahiki Meya wa Dar-es-Salaa, Didas Masaburi.
<br />Inawezekana kabisa Mayor Masaburi akawa hana hatia,ni mtu safi, lakini kwa kipindi hiki ambacho yuko kwenye uchunguzi si busara hata kidogo kuonekana kwenye hiyo picha na Rais. Psychologically inampa Mayor Masaburi nguvu kubwa sana. <br />
<br />
Kitu kingine ambacho kinanipa shida ni nani analipia hizi futari za kila juma? Nauliza hili kwa nia njema kabisa, na natambua hiki ni kipindi muhimu kwa waislam na nilitegemea Rais angefutarisha watu lakini (LAKINI) sikutegemea angefutarisha kwa kasi hii. Nchi masikini ambavyo inakopa kila kukicha kwa nini Rais anashindwa kutambua concept ya 'kubana matumizi'?. <br />
<br />
Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi nusura ikwame kwa sababu ya kukosa fedha, Raisi yeye anazo mpaka za kununua zawadi kwa <b><i>Watuhumiwa wa rushwa</i></b>? Umpe mtu chakula na zawadi pia? Washauri wa Rais wanafanya nini? Kwanza mmeona hiyo mifuko ya zawadi? ni kiasi gani mfuko mmoja? Hawa waliofutarishwa wana njaa gani mpaka wapewe chakulana Rais?. <br />
<br />
Kama ni lazima kufutarisha kila juma basi wafutarishwe watoto yatima na wasukuma mikokoteni. Hawa ndio wanataka chakula lakini sio wakina Mayor Masaburi.<br />
<br />
Sijui tumefikaje hapa. Sijui!
MASA BURI bado ni Meya na anawakilisha jamii. HAFLA hiyo ilikuwa jijini dar so kama meya lazima aalikwe ikulu that is protocal; angekuwa amepewa barua ya likizo ili kupisha uchunguzi kisha mr president akampa mwaliko hiyo ni kesi ingine. msimamisheni kwanza!!!!
"DONT MAKE OTHER PEOPLE LAUGH AT YOUR BACK"
[COLOR=#ff0000 said:MASABURI YAO WOTE!!!!!!!![/COLOR]
Kwa kuwa bado anachunguzwa hana hatia, mpaka pale itakapodhihirika kuwa ametenda kosa, kwa maana hiyo yuko huru kukutana na kila mtu hadi pale kosa lake litakapobainika.
Hapa ninatatizo na mtoa mada,Kikwete amealika Wah. MADIWANI wa Dar. Je, angesema Masaburi usije? Hakumwita Masaburi kama Masaburi amemwita kama DIWANI, hilo la Kwanza, pili kamakiongozi wa Madiwani hivyo alikuwa kiongozi wa msafara.
Hacha chuki na usituambukize upuuzi huu. Masaburi is INNOCENT til then. Shit.
Bila kujali ni zawadi gani anayopewa huyu hakupaswa hata kukanyaga ikulu. Mbali ya tuhuma za ufisadi,juzi pia katutukana watanzania wote kupitia kwa wawakilisha wetu leo tunamwona kwenye ofisi yetu ya juu kabisa nchini akipeana mkono na mkuu wa nchi, is he being rewarded kwa kutuibia na kutuinsult?. Huu upuuzi I'm sure huwezi kuuona mahali pengine popote duniani zaidi ya Tanzania.