Kwa kuwa bado anachunguzwa hana hatia, mpaka pale itakapodhihirika kuwa ametenda kosa, kwa maana hiyo yuko huru kukutana na kila mtu hadi pale kosa lake litakapobainika.
<br />Ee Mungu utusaidie watanzania tufikie mwaka 2015 kwa amani bila machafuko. Kwa JK kilichobaki ni sala tu, ushauri haumsaidii au hana washauri.