connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,775
- 3,842
Hilo Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR yetu na Tuzo za Comedy. Tumestuka. Msaada tutapata Dubai na Morocco
Ni jambo la kumshukuru mheshimiwa rais daktari profesa Samia Suluhu Hassan kwa yote hayaHilo Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR yetu na Tuzo za Comedy. Tumestuka. Msaada tutapata Dubai na Morocco
You didn't get the joke, did you?Abortion was better than your birth.
😂😂😂😂Hilo Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR yetu na Tuzo za Comedy. Tumestuka. Msaada tutapata Dubai na Morocco
Kwa vile nyie ni wajinga hamuwezi kujibu hoja za utekaji, mauaji na kesi za kusingiziwa.Ni kweli wanatuonea wivu. Ila umekosea kujua wanachotuonea wivu.
Uhalisia ni kwamba wanatuonea wivu sababu kuu ni bwawa la rufiji. Limeziba mirija yao mingi ya kunyonya nchi. Kampuni za wazungu nyingi zinanyimwa mikataba ya kuzalisha umeme tena.
Hata wakati linataka kujengwa. Bunge la ujerumani lilijadili bwawa na kufikia maazimio ya kulikataza kujengwa
Hao wazungu unaowasema wanakaribishwa na wanasiasa wenyeji na kufanya partnership ya unyonyaji.Ni kweli wanatuonea wivu. Ila umekosea kujua wanachotuonea wivu.
Uhalisia ni kwamba wanatuonea wivu sababu kuu ni bwawa la rufiji. Limeziba mirija yao mingi ya kunyonya nchi. Kampuni za wazungu nyingi zinanyimwa mikataba ya kuzalisha umeme tena.
Hata wakati linataka kujengwa. Bunge la ujerumani lilijadili bwawa na kufikia maazimio ya kulikataza kujengwa
Halafu mgeni rasmi ni msanii namba moja nchini "chura kiziwi"Aisee. Ngoja na mm nianzishe Bodaboda awards
Pia wanatuonea wivu kwa jinsi tunavyowateka, kuwatesa na kuwaua "nyani" wenzetu kwa sababu za siasa tu, ili tuendelee kula mahindi shambani bila bughuza. Qmmmko wewe na machawa wenzako.Ni kweli wanatuonea wivu. Ila umekosea kujua wanachotuonea wivu.
Uhalisia ni kwamba wanatuonea wivu sababu kuu ni bwawa la rufiji. Limeziba mirija yao mingi ya kunyonya nchi. Kampuni za wazungu nyingi zinanyimwa mikataba ya kuzalisha umeme tena.
Hata wakati linataka kujengwa. Bunge la ujerumani lilijadili bwawa na kufikia maazimio ya kulikataza kujengwa
Nyie watu🤣🤣🤣TANZANIA WALEVI AWARDS May 30.
Mgeni rasmi atakuwa mama Samia.
Kweli bhana!Hilo Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR yetu na Tuzo za Comedy. Tumestuka. Msaada tutapata Dubai na Morocco
Asee umenena. Kwa kuwa Sgr inajengwa na mainjinia waziefuuuHilo Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR yetu na Tuzo za Comedy. Tumestuka. Msaada tutapata Dubai na Morocco